Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

So unavyoona sgr Kenya na sgr Tz zinafanana? Yupi anayetakiwa kuiga mwenzake?
 
Hiyo picha aliyepost nani? Ni serikali ya Tanzania au sio?
 
hapa hamkuwa na render ya BRT Nairobi? Au yale mabasi yenu ya ISUZU?
 
Nyinyi ndo mtuambie manake mshatuiga, na si mara ya Kwanza!
Tumewaiga kwenye nn electrical sgr au JNHP au BRT au kwenye ujenzi wa meli au airports za kisasa? Be specific what kind of project we copied from u Northern [emoji205][emoji205]
 
Kuna mtu ana render ya electrical SGR terminal Mwanza?
 
A feature documentary about Tulu Moye Geothermal power plant in Ethiopia. Kengen is mentioned from 11:30
 
Tumewaiga kwenye nn electrical sgr au JNHP au BRT au kwenye ujenzi wa meli au airports za kisasa? Be specific what kind of project we copied from u Northern [emoji205][emoji205]
Kwani haukumbuki unachoandika? Ulisema, " So unavyoona sgr Kenya na sgr Tz zinafanana? Yupi anayetakiwa kuiga mwenzake?"

Ndo nikakujibu, "Nyinyi ndo mtuambie manake mshatuiga, na si mara ya Kwanza!"

Sasa mambo ya meli na airports yametoka wapi na ni we ndo uliuliza swali la nani anafaa kuigiza SGR ya mwenzake. Watanzania mnapenda sana kugeuza goal post!
 
hapa hamkuwa na render ya BRT Nairobi? Au yale mabasi yenu ya ISUZU?
Haijalishi, sisi tuli-credit kwamba hio ni BRT ya Tanzania, hatukuweka tu picha bila kutaja ni ya wapi kama nyinyi mlivyofanya. Kama Tungefanya hivyo, wasomaji gazeti ambao hawajawahi kufika Nairobi wangechukulia hio ya Tz ni BRT ya Nairobi!
 
Wakenya oneni elimu ilivyotusaidia Watz, now tunai fence reli yetu adhimu na ya mfano hapa Afrika na duniani kwa ujumla, onaa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji2781][emoji706]
 
Kwani unadhani SGR ya Kenya ndio haina fence? Unapost upuzi tu hapa.
 
Mwanzo fense ya Tz ni 53 km pekee, kwa reli ya 300km!
 
Na hawa ng'ombe waligongwa vp? Waliruka fence?

Story yako hii hapa. Ndovu ndo walivunja fense sababu walikua hawajazoea kupita chini ya underpass za SGR. Fense hio ilikaa hivyo bila kurekebishwa kwa mwezi ndo hao ngombe wakaingia hapo, Kuna wanyama wengi sana waligongwa mwezi huo si ngombe tu, chui, Simba, nyani, nyati.. ndo fense ikarekebishwa. Tena ni bahati SGR yetu iko juu kiasi Cha kua mnyama kama ndovu hawezi kupanda, nyi huko kwenu ombeni Sgiara yenu iwe haipitii mbugani manake kama Kuna ndovu wataweza kupanda hadi juu ya reli.

-------------------

SGR passenger train kills cow after elephants destroy fence
by JOHN MUCHANGI
News
17 June 2017 - 12:00

The cow killed by SGR passenger train on Saturday, June 17, 2017. /JOHN MUCHANGIImage Unavailable
The cow killed by SGR passenger train on Saturday, June 17, 2017. /JOHN MUCHANGI
An SGR passenger train on Saturday knocked down a cow killing it instantly.

The cow is believed to have strayed into the line after elephants reportedly destroyed the fence bordering the line.

The train was headed to Mariakani at the time of the accident.

"After knocking the cow, the train slowed down but continued with its journey to the station," officials who sought anonymity said.

The official said many pastoralists graze their animals in that section since the fences have not been mended.

"Herders graze their animals in the area because the grass is greener on the other side of the line," the SGR official said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…