Halafu mwingine wa gorofa 150pax 75 juu 75 chini hakuna kubanana kama jirani coach moja 120pax
This is the render of Dodoma station, I hope you know what's on the ground.niletee renders mim nikuletee kitu kwa ground.. then unionyeshe tofauti uliopo..
pole, i thought you were talking what jubilee gvt did to you, homeless mayatima
View attachment 1854031
Ila kuna mzigo mwingine utakaotangulia kuja mabehewa 59 mkataba ulisainiwa last year mabehewa yake yatakuwa kama ya gari moshi la jirani ila 75pax 2x2 hakuna economy
Ila hiyo Rangi ya TRC siyo bora red silver and black
Kuna wakati utafika Nairobi itaonekana kituko mbele ya Dar es Salaam!!!.Mapinduzi ya kiuchumi tunayoyaleta si lele mama!.Tunawika π si tu kwa Wakenya ila Africa nzima isikie!!!Sisi ndo wanaume!!!.pole sana. i can see the pain in your comment
i wonβt argue with you anymore mpka maumivu yaishe
Apo ndio kinakuja kile kipengele cha maji kuitwa mmaaITX - Intercity Train eXpress
View attachment 1854177
View attachment 1854178
View attachment 1854179
maumivu yake si madogo [emoji382][emoji382][emoji382][emoji846]
Apo ndio kinakuja kile kipengele cha maji kuitwa mmaa
Train Moja inaweza kubeba mpaka abiria 1500Aliposema zinaweza kuongozana mbili kwa wakati mmoja maana yake ni hii
Mbona tangu jana tuko peke yetu tuu huku majirani siwaoni kilikoni?
kuna yule jamaa alikuwa anadai behewa lao la abiria linabeba 120 PAX naona kapotea baada ya kuona doubledecker coach ikiwa na capacity ya 150 PAX!watakuja kwa topics mpya ila sio kwa hii iliyopo saiz [emoji91]
Umeanza excuses tena?πππ Seating arrangements ya Kenyan SGR ndio hii hapa.
This is one coach.
View attachment 1850130
Nyinyi hamna metro. Usilinganishe hiyo Dar Moro project yenu na Gautrain which is a Joburg city and Pretoria Urban metro train. Yenu ni a normal intercity SGR train. Hamna metro na hata sisi hatuna metro katika cities zetu. Ile siku Dar city itakuja kujenga urban metro around Dar city ndio uje kupost kuhusu Gautrain. Very few African cities zina urban metro.TBT: The Gautrain rail project
MY TAKE
Unfortunately the Gautrain is only 80 km!
120 pax on one level hiyo train sasa au matatuukuna yule jamaa alikuwa anadai behewa lao la abiria linabeba 120 PAX naona kapotea baada ya kuona doubledecker coach ikiwa na capacity ya 150 PAX!
garimoshi kutoka slum capital of the World!120 pax on one level hiyo train sasa au matatuu