Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania



Mngekuwa mnapata elimu nzuri huko kwenu mchina asingewaingiza mkenge, kuliko kupigwa pesa nyingi halafu unaletewa treni ya 1970's, eti china class 1. Labda ndio maana mmeamua kuweka pesa nyingi kwenye elimu baada ya kugundua kuwa hamna elimu nzuri.
 
Mngekuwa mnapata elimu nzuri huko kwenu mchina asingewaingiza mkenge, kuliko kupigwa pesa nyingi halafu unaletewa treni ya 1970's, eti china class 1.
yani huwez amini 4b usd from mombasa to nai alaf wanaletewa gari moshi ya miaka 70 iliopita πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
yani huwez amini 4b usd from mombasa to nai alaf wanaletewa gari moshi ya miaka 70 iliopita πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Wanajifanya wanajua Sana kiingereza mchina akawaletea neno la CHINA CLASS 1. Wacha wazuzuke wenzao waganda wameanza kushtuka.
 
Wanajifanya wanajua Sana kiingereza mchina akawaletea neno la CHINA CLASS 1. Wacha wazuzuke wenzao waganda wameanza kushtuka.
waganda washakataa mbona na pia mganda kashtuka kwenye deni piaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ akiangalia value for money haipati
 
Mngekuwa mnapata elimu nzuri huko kwenu mchina asingewaingiza mkenge, kuliko kupigwa pesa nyingi halafu unaletewa treni ya 1970's, eti china class 1. Labda ndio maana mmeamua kuweka pesa nyingi kwenye elimu baada ya kugundua kuwa hamna elimu nzuri.
Cargo trains speed: 80kph
Passenger trains speed: 100-120kph

Shida iko wapi? Nyinyi ubaya wenu mnaangalia sura ya treni. Hamuangalii ufanyikazi wa treni.

Isitoshe, SGR yenyewe itakua upgraded to electric. Shida yenu na SGR yetu ni gani? Wivu ama povu?
 
2 years later, bado hawawezi elewa. Ni wivu na povu tuu
 
I really wonder why you cannot concentrate on your own thing. Kenya does not do things because of Tanzania. So what if you have secured a much bigger funding than Kenya? It is not free. You will have to repay back.
*Kenya does not do things because of Tanzania*
 
..kama Tanzania inajenga sgr kwa kutumia fedha za mikopo yenye masharti magumu ya kibiashara basi mradi wetu unaweza kuwa wa aghali kuliko wa Kenya.

..tusilinganishe hii miradi kwa kuangalia cost per km tu. Tuangalie pia aina ya MIKOPO inayotumika ku-finance miradi hii.

Cc Geza Ulole , MK254
 
masharti magumu yepi hayo? Yale mepesi ya Mchina yepi hayo?
 
masharti magumu yepi hayo? Yale mepesi ya Mchina yepi hayo?

..inabidi kulinganisha chanzo na MASHARTI ya mkopo wa Tanzania vs wa Kenya.

..kwa Tanzania hakuna UWAZI jinsi mradi huu unavyotekelezwa, haswa ktk masuala ya FEDHA.

..wengi tunaunga mkono mradi, lakini tunataka kuwepo na uwazi na uwajibikaji.
 
..inabidi kulinganisha chanzo na MASHARTI ya mkopo wa Tanzania vs wa Kenya.

..kwa Tanzania hakuna UWAZI jinsi mradi huu unavyotekelezwa, haswa ktk masuala ya FEDHA.

..wengi tunaunga mkono mradi, lakini tunataka kuwepo na uwazi na uwajibikaji.
Leta evidence ya Uwazi wa mradi wa Kenya! Tema mate ushukuru! Uwazi unaanzia na kutenganisha majukumu kwa kuanzia desiging firm COWI, constructor firm Yapi Merkez n Mota-Engil and KOICA as a consultant firm supervising construction. While Client ni TRC, financing was budgeted by MoF n approved by the PURT! Sasa niambie unachojua kuhusu financing agreement za Eximbank China na GoK! Na pili when was the tender floated for a constructor CRBC to vie n win?
 

..kama hakuna taarifa hizo kwa upende wa Kenya unaweza tu kusema taarifa hazipo.

..lakini hali hiyo hai-justify waTz na sisi kutokuwa wawazi ktk mradi wetu.

..huku Tz wabunge wanalalamika kwamba taarifa za vyanzo vya fedha vya mradi wa sgr haziko wazi.
 
Acha kunijibu shallow mi sipo hapa for the sake ya kubisha nimekupa nondo leta zako kwanini SGR ya Kenya ina uwazi zaidi ya Tanzania? Je gharama za ya Tanzania hujui na zipo juu? Design pia hujui? Tendering process hazina uwazi? Nimetoa mfano wa project procurement na financing. Wewe unaendelea kuleta loose talk! Leta facts otherwise tafuta wa level yako wa kufanya nae loose discussion!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…