Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #12,981
hajui Morogoro inawalisha na ina bus stand bora zaidi ya the whole of Kenya! ukiacha vyuo vikuu viwili!nani aliyekuambia kuwa Morogoro ni kitongoji duni..?
kwaakili yako yenye mwendo wa kobe unadhani abiria hawapo..?,pia unadhani morogoro hawahitaji malighafi za kibiashara zinazotoka dar?
na kwa akili yako ndogo unadhani reli ndiyo imeishia hapo au nikujitoa akili tu?[emoji23][emoji23][emoji23]
tafuta shughuli ya kufanya,kama kwenu SGR ni nairobi pekee,kwa Tz ni tofauti whole country inahitaji huduma ya reli