Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Barabara tu ya kutoka Moshi to Arusha inanjengwa kwa m8aka miwili. Je? Reli ya kutoka Dar to Moro km 200 itachukuwa muda gani.? 2017 hadi 2019. Bado vituo na Umeme
Yeye anadhani tunajenga charcoal railway kama yao iliyojengwa kwa miaka miwili, wanapoteza pesa nyingi kujenga railway ya karne ya 10, c bora wangetupa tender cc tuwajengee, hiyo reli yao inajengwa vzr tu na SUMA JKT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkataba wa kwanza
IMG_2946.jpg




mkataba wa pili
IMG_2948.jpg
 
Back
Top Bottom