Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
Sina shida lakini kilomita 200 haifai kuchukua miaka 10 kujenga.Sisi tunajenga Dar mpaka Mwanza shida yako nini kama kipande cha moro hakijamalizika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina shida lakini kilomita 200 haifai kuchukua miaka 10 kujenga.Sisi tunajenga Dar mpaka Mwanza shida yako nini kama kipande cha moro hakijamalizika?
Niesabie iyo miaka 10 , ukishindwa wew ni kichaaSina shida lakini kilomita 200 haifai kuchukua miaka 10 kujenga.
Yeye anadhani tunajenga charcoal railway kama yao iliyojengwa kwa miaka miwili, wanapoteza pesa nyingi kujenga railway ya karne ya 10, c bora wangetupa tender cc tuwajengee, hiyo reli yao inajengwa vzr tu na SUMA JKT.Barabara tu ya kutoka Moshi to Arusha inanjengwa kwa m8aka miwili. Je? Reli ya kutoka Dar to Moro km 200 itachukuwa muda gani.? 2017 hadi 2019. Bado vituo na Umeme
Huu mkataba wa kwanza sio wa EMU coaches za abiria zitakuwa zinavutwa na electric locomotives
electrical SGR Dar-Moro (over 93% done and counting)
Nimekosea...nadhani ni over 95%!In May completion rate was 95%, now it is 93%. Kwani mnajenga mkirudi nyuma?
yaani engine kubwaaa halafu inavuta mabehewa mawili!
Kwani kuna shida? Na uko blind huoni rolling stock nyuma?yaani engine kubwaaa halafu inavuta mabehewa mawili!
empty rolling stock!Kwani kuna shida? Na uko blind huoni rolling stock nyuma?