Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Eti wanaita mchina ajenge charcoal SGR, ss c ni bora wangetuomba tuwape Suma JKT wangeokoa pesa nyingi.
SGR na treni ni vitu viwili tofauti sana mzee[emoji1787][emoji1787]
Naona unaota walai, manake sio kw kuchanganya ma file..napna bado somo la jana halijakuingia vyema ...
 
Hakuna reli ya umeme (unless tunaongelea Maglev ambayo haipo Africa for now). Treni ndio ya umeme. Treni ya umeme inaweza wekwa Kwa reli yoyote including hiyo MGR yenu. Ni nini unatufundisha kama huelewi jambo la msingi kama hilo?
Yani jamaa mwupe kichwani, hyo ndio wale zero brain hko bongo
 
Treni la umeme linapita katika reli yoyote ile mzee acha ushamba..
Hata MGR za umeme zinapita
 
Hahaha!!bado una yale yale ya jana..we jamaa mshamba sana walai
 
Sema tu electrification of tz SGR, hapo kuna uzito gani mzee
Unaumwaje na kitu ambacho si chako? Yani mtu ambaye hajawahi kuona electrical SGR anamfundisha mtu ambaye kwao ipo.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unaumwaje na kitu ambacho si chako? Yani mtu ambaye hajawahi kuona electrical SGR anamfundisha mtu ambaye kwao ipo.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
niumwe kisa utahira wakoee
 
Waziri kadanganya, hooo tren itakuja mwezi huu November na sasa ni December 3. Mbona atujaziina hizo tren? Au meli amekwama njiani au? OK.. COVID19 mama mamaaaa kizusi kipya ndio maana
 
 

Attachments

  • FB_IMG_16385394207080670.jpg
    22.5 KB · Views: 3
  • FB_IMG_16385394421485094.jpg
    25.5 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…