NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Mbona pananikalia pakawaida sana. I don't see the fuss.๐ฎ๐ฎ
Hapa pa kawaida au sio [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona pananikalia pakawaida sana. I don't see the fuss.[emoji706][emoji706]
Ukikurupuka ndio unapata jointed SGR, gari moshi na lipstick ya stations [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii kitu hahihitaji ukurupuke
View attachment 2053851
Kawaida? Umeona wapi kitu kama hicho Kenya mpaka useme panakaa kawaidaMbona pananikalia pakawaida sana. I don't see the fuss.[emoji706][emoji706]
Sioni cha maana.Hapa pa kawaida au sio [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2055932View attachment 2055933View attachment 2055934View attachment 2055935View attachment 2055936View attachment 2055937View attachment 2055938View attachment 2055939
Huwezi kuona cha maana cz hujawahi kuona electrified railway ktk maisha yako.Sioni cha maana.
can show marshalling yard ya Reli ya Kenya?Yani esigiara ya dangagiza 150km bado haijaisha 5 years tangu ianze.
๐๐๐
Punguza bangi mencan show marshalling yard ya Reli ya Kenya?
SGR ya Tanzania kwa Standard za Kenya ingekuwa imeisha miaka 3 nyuma, cause Kenya mko na Reli tu yaani (Track road).
Ila Tanzania wako na Electric power lines, Control centers and control systems ambazo Kenya hawajui lini watakuwa nao, inshort SGR ya Tanzania haina tofauti na SGR zilizopo Europe wakati Reli ya Kenya ni Sawa na MGR iliyopo pamoja na ile ya Tazara tu
Hawapendi kusikia habari hizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]can show marshalling yard ya Reli ya Kenya?
SGR ya Tanzania kwa Standard za Kenya ingekuwa imeisha miaka 3 nyuma, cause Kenya mko na Reli tu yaani (Track road).
Ila Tanzania wako na Electric power lines, Control centers and control systems ambazo Kenya hawajui lini watakuwa nao, inshort SGR ya Tanzania haina tofauti na SGR zilizopo Europe wakati Reli ya Kenya ni Sawa na MGR iliyopo pamoja na ile ya Tazara tu
Umeona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Punguza bangi men
[emoji23][emoji23]kojoa ulalecan show marshalling yard ya Reli ya Kenya?
SGR ya Tanzania kwa Standard za Kenya ingekuwa imeisha miaka 3 nyuma, cause Kenya mko na Reli tu yaani (Track road).
Ila Tanzania wako na Electric power lines, Control centers and control systems ambazo Kenya hawajui lini watakuwa nao, inshort SGR ya Tanzania haina tofauti na SGR zilizopo Europe wakati Reli ya Kenya ni Sawa na MGR iliyopo pamoja na ile ya Tazara tu
Sasa kojoa ulale vipi, hoja hujibiwa kwa hoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]kojoa ulale
Mimi nimekupa control center ya Kenya SGR ndio hii hapa. Nionyeshe ya Tanzania tufunge mjadala.๐๐๐can show marshalling yard ya Reli ya Kenya?
SGR ya Tanzania kwa Standard za Kenya ingekuwa imeisha miaka 3 nyuma, cause Kenya mko na Reli tu yaani (Track road).
Ila Tanzania wako na Electric power lines, Control centers and control systems ambazo Kenya hawajui lini watakuwa nao, inshort SGR ya Tanzania haina tofauti na SGR zilizopo Europe wakati Reli ya Kenya ni Sawa na MGR iliyopo pamoja na ile ya Tazara tu
Mimi nimekupa control center ya Kenya SGR ndio hii hapa. Nionyeshe ya Tanzania tufunge mjadala.[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2057565
View attachment 2057566
Ndio nimekuuliza, tuonyeshe control center yenu. Ni kusoma hujui ama ni kuelewa huelewi? ๐คฃ๐คฃ๐คฃngoja niaandike haya maneno afu niyakariri afu tukipata picha za control center in time nitakuquote tena.. usifute acc lkn!
control center
Hii ndiyo control center yenu? [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio nimekuuliza, tuonyeshe control center yenu. Ni kusoma hujui ama ni kuelewa huelewi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1. It is hard to tell kama picha ya kwanza na ya pili zina relate cause picha ya kwanza kutoka ukutani na Hadi computer ya kwanza ni tofauti also aina ya viti ni tofauti sana, pia picha ya kwanza ni wachina watupu na ya pili ni kama kadarasa...Mimi nimekupa control center ya Kenya SGR ndio hii hapa. Nionyeshe ya Tanzania tufunge mjadala.๐๐๐
View attachment 2057565
View attachment 2057566
They are two different pictures. What's your point?1. It is hard to tell kama picha ya kwanza na ya pili zina relate cause picha ya kwanza kutoka ukutani na Hadi computer ya kwanza ni tofauti also aina ya viti ni tofauti sana, pia picha ya kwanza ni wachina watupu na ya pili ni kama kadarasa...
Ss hiyo control center inaongoza nn? Ndiyo kusema mitungi inahitaji kuongozwa na computer? Mnaongezewa ma cost yasiyo lazima.They are two different pictures. What's your point?