Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Point yangu ilikuwa ni kumueleza coodip1 kwamba KAA ina information yote ya KQ. Sikumaanisha kwamba KAA huwa inachapisha information yote, obviously kuna sensitive info ambayo haiwezi kuchapishwa. Nilikuwa namrekebisha Coodip aliyesema kimakosa kwamba KAA haikusanyi information ya KQ.
 
Sawa sawa brother!!!
 
Kwahiyo KAA inaweza kujua KQ kapata faida sh ngapi kwenye route ama unataka kusemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…