mim nadhan mikataba halisi ni hii miwili tu.. moja ni ule wa Hyundai Rotem na pili ni huu wa wachina CRRC.. yale maneno ya Dr Abas yalikuwa ni speculation tu (siasa).. yan badala ya kusema tunatazamia kupata mabehewa flan na flan, wao walikuwa wanasema tumesaini na kuagiza mabehewa flan na flan (kumbe hamna mkataba wowote). Tanzania hatujawah kuorder kitu bila kutaarifiwa au kuonyesha tukio la kusaini mkataba hata kwa picha au video, otherwise watakuwa wamefanya ufisadi
So nataka kusema yale maneno ya Dr Abas sijui na Msigwa hayakuwa ya kweli, hawakusaini mkataba. So mabehewa na vichwa tutakavyopata ni kutokana na hii mikataba miwili.. wa wachina CRRC na wa wakorea Hyundai