Kiswahili tabu sana ongea lugha ya kikoloni tuu kijana usijipe shida bure.Magu aligenyea kanairo
View attachment 2172158
Nyamazisha za ovyoKiswahili tabu sana ongea lugha ya kikoloni tuu kijana usijipe shida bure.
Mbona imekaa kama MGRRelax mdanganyika
View attachment 2172175
Yani majambazi wanateka airport kweli kazi wanayo hawa jamaa
yaani ni bonge la scandal!Yani majambazi wanateka airport kweli kazi wanayo hawa jamaa
Hihihi pole sana kwa kukujulisha kwamba KR haijawahi kufa miaka 120 tangu ianze kufanya kazi ....... Magadi ni mmojawepo ya madini makubwa yanayouzwa kutoka Kenya.. hayo magadi hayajawahi kukosa kufika bandarini kutoka kajiado hadi Nairobi Hadi Mombasa.. na hadi wa leo bado husafirishwa na reli ya MGR bila kufeli.mgr ya Kenya ilikufa, acha uongo ,wameanza kuifufua hivi karibuni wadanganye wasiojua.
Tatizo kwisha, nikuteleza tuuuSgr ruvu bridges
View attachment 2178004
View attachment 2178005
View attachment 2178007
View attachment 2178008
View attachment 2178009
View attachment 2178010
View attachment 2178012
View attachment 2178014
View attachment 2178017
View attachment 2178035
View attachment 2178036
View attachment 2178037
View attachment 2178038
View attachment 2178039
View attachment 2178041
View attachment 2178043