Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #14,281
Hata control center ya buses za mikoani Tanzania ni better than Kunyan SGR
Waje waombe msaada TRC kuna wataalamu wa kutosha
The revamped MGR so far...
Mwambie atulie basi.Uzuri Kagame mwenyewe hajawahi kuomba wamuamini.Ni kiherehere Chao
We umuamini mtu Kama yule Kama anaua hata wenzie uliomsaidie kumuweka madarakani, na raia wake.
MY TAKE
nadhani tunaweza kuona kwann Tshisekedi ameungana na Burundi na si Rwanda kwenye SGR. Kagame haaminiki!
Alafu kuna computer zina desplay windows 7 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila siku tukifanya kitu lazima tuwa outsmart, hii inadhihirisha ubora wa elimu ya Tanzania dhidi ya elimu wanayopata wakunyaland.Kenyan chinese SGR control center
View attachment 2250985
Tanzanian SGR control center
View attachment 2250986
Siku zote muda ni mwalimu mzuri sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemwambia,amesema ameogopa Sana atatulia sasa.Mwambie atulie basi.
Maana we Ni mdau wake kweli.
AKA chinese first class....[emoji16][emoji16][emoji16]Kenya SGR is 5 years old
7.8 million passengers carried
1.7 million teus transportedView attachment 2252350
Going strongAKA chinese first class....[emoji16][emoji16][emoji16]
Hawa wengine itawachukulia 15yrs to achieve thisKenya SGR is 5 years old
7.8 million passengers carried
1.7 million teus transportedView attachment 2252350
Tz imejipanga sana wewe ngoja tuvute zulia chini ya miguu yenu muanguke vibaya. Tz ina nchi 8 zinazotegemea bandari ya Dsm. Mizigo yote ya Ug tunapeleka mpaka port bell kwa bei poa tuu ndani ya 10 hours from port mizigo inafika Mwanza mwanza kesho yake asubuhi iko port bell hiyo ni transit time ya less than 24hrs halafu tuone kama kuna mtu wa UG atapitisha mzigo especially ya container Mombasa. Hawa wengine wala sio jambo la kuzungumzia inland port ya Isaka kwa sasa ita serve hizo nchi nyingine (Uganda, Rwanda, Burundi na Congo) vzr sana maana hapo ni less than 400km from Isaka. Ila connection ya keza ikimalizika electric sgr itatembea moja kwa moja mpaka Congo.Hawa wengine itawachukulia 15yrs to achieve this
Remember 50% ya cargo inaishia dar plus customers wao Ni mainchi shithole tupu LDC
Kweli. SGR ya Tanzania hainguanishi any major city kwa hiyo haitawahi break even. Alafu watatumia pesa zote kufanya maintainace ya stima ya mgao.Hawa wengine itawachukulia 15yrs to achieve this
Remember 50% ya cargo inaishia dar plus customers wao Ni mainchi shithole tupu LDC
Nyie ndio mtaweza kulipia gharama za diesel zinazopanda kila mwaka kwa sgr yenu na pia dollar ya kuagiza mafuta hamna mpaka IMF ije iwaokoe kama ilivyofanya juzi kuwapatia dollar ndio mkaweza kuagiza mafuta.Kweli. SGR ya Tanzania hainguanishi any major city kwa hiyo haitawahi break even. Alafu watatumia pesa zote kufanya maintainace ya stima ya mgao.
Mimi nahurumia sana hii nchi, ccm wamewaeka kwa shimo hawatawahi jitoa kama reli ya Ethiopia.
Stick kwa topic ya reli mdanganyika.Nyie ndio mtaweza kulipia gharama za diesel zinazopanda kila mwaka kwa sgr yenu na pia dollar ya kuagiza mafuta hamna mpaka IMF ije iwaokoe kama ilivyofanya juzi kuwapatia dollar ndio mkaweza kuagiza mafuta.
Stick kwa topic ya reli mdanganyika.Nyie ndio mtaweza kulipia gharama za diesel zinazopanda kila mwaka kwa sgr yenu na pia dollar ya kuagiza mafuta hamna mpaka IMF ije iwaokoe kama ilivyofanya juzi kuwapatia dollar ndio mkaweza kuagiza mafuta.
Kwani hapo naongelea nini kama sio issue za reli.Stick kwa topic ya reli mdanganyika.