Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,293
- 5,163
Kweli. SGR ya Tanzania hainguanishi any major city kwa hiyo haitawahi break even. Alafu watatumia pesa zote kufanya maintainace ya stima ya mgao.
Mimi nahurumia sana hii nchi, ccm wamewaeka kwa shimo hawatawahi jitoa kama reli ya Ethiopia.
Mombasa NairobiReli inaunganisha Dar na Dodoma, Dodoma na Tabora, Tabora na Kigoma, Kigoma na Gitega, Tabora na Kigali, Tabora na Mwanza ambayo nayo inaunganisha na Kampala alafu unasema haiunganishi any major city? So ulitaka iunganishe New York na Dar? Kwahiyo hiyo yenu inayounganisha Nairobi na Naivasha ndio major cities?
Acha wivu mzee kwani naivasha ndo kuna nnMombasa Nairobi
Hiyo yenu sijui tabora ni upus tu. Will never make money
Kuna Nakuru. Dodoma na tabora ni vijiji vidogo havina mzigo wala abiria.Acha wivu mzee kwani naivasha ndo kuna nn
Dar es salaam commercial city and gateway to east, central and southern africa. Dodoma capital of Tanzania, Mwanza strategic city in lake victoria. Kigoma strategic city in lake Tanganyika. Sasa yenu Mombasa na Nairobi tuu ndio maana mnataabika kurudisha mkopo mpaka mchina anataka kuchukua bandariMombasa Nairobi
Hiyo yenu sijui tabora ni upus tu. Will never make money
Dar ndio kila kitu Tanzania. Nje ya hapo ni vijiji tuDar es salaam commercial city and gateway to east, central and southern africa. Dodoma capital of Tanzania, Mwanza strategic city in lake victoria. Kigoma strategic city in lake Tanganyika. Sasa yenu Mombasa na Nairobi tuu ndio maana mnataabika kurudisha mkopo mpaka mchina anataka kuchukua bandari
Kwaiyo ulitaka reli ipae iende moja kwa moja mwanza hauKuna Nakuru. Dodoma na tabora ni vijiji vidogo havina mzigo wala abiria.
Mwanza pia ni kijiji. Dar ndio kila kitu tanzania. ingekua dar ndio iko lake victoria na mwanza iwe dar kama ilivyo nairobi na mombasa basi hii reli ingemake sense maana kungekua na mzigo na abiria.Kwaiyo ulitaka reli ipae iende moja kwa moja mwanza hau
Tanzania sio Kenya kilakitu Nairobi ukitoka nje ha hapo tofauti unayokutana nayo ni kubwa sana. But in Tanzania most cities are more or less the same in standards and development.Dar ndio kila kitu Tanzania. Nje ya hapo ni vijiji tu
Bongo sio kenya mzee ambapo kila kitu kipo nairobi, uchumi wetu uko very diversified kwaiyo usitake tufanane sababu zipo nyingi ambazo wenzangu washazianisha umu kwann reli yetu itakua more profitable than yours singependa kuzirudiaMwanza pia ni kijiji. Dar ndio kila kitu tanzania. ingekua dar ndio iko lake victoria na mwanza iwe dar kama ilivyo nairobi na mombasa basi hii reli ingemake sense maana kungekua na mzigo na abiria.
Wewe hujui geography na economy ya Tanzania kabisa. Most mines are in the lake zone they use Dar port. Rwanda Burundi Uganda and Eastern DRC use Dar port. Mizigo ndio inalipa kwenye reli.Mwanza pia ni kijiji. Dar ndio kila kitu tanzania. ingekua dar ndio iko lake victoria na mwanza iwe dar kama ilivyo nairobi na mombasa basi hii reli ingemake sense maana kungekua na mzigo na abiria.
Ww pumbav Sana,hivi SGR yenu inalekeka nini Mombasa?Mombasa Nairobi
Hiyo yenu sijui tabora ni upus tu. Will never make money
Imports za the largest city in East and Central Africa 'Nairobi' + Kampala 80%Ww pumbav Sana,hivi SGR yenu inalekeka nini Mombasa?
Mines ambazo hazina pesa?Wewe hujui geography na economy ya Tanzania kabisa. Most mines are in the lake zone they use Dar port. Rwanda Burundi Uganda and Eastern DRC use Dar port. Mizigo ndio inalipa kwenye reli.
Hata kilimo kina mazao mengi yanayotoka lake zone yanaenda kwenye masoko ya kimataifa kupitia Dar port mfano Pamba inalimwa mwanza shinyanga simiyu etc, tumbaku tabora, kahawa Kagera na mengine mengi tuu
Mines ambazo hazina pesa?Bongo sio kenya mzee ambapo kila kitu kipo nairobi, uchumi wetu uko very diversified kwaiyo usitake tufanane sababu zipo nyingi ambazo wenzangu washazianisha umu kwann reli yetu itakua more profitable than yours singependa kuzirudia
Huyo ni mpumbavu co wa kumjibu kabisa, ana mtindio wa ubongo huyo.Reli inaunganisha Dar na Dodoma, Dodoma na Tabora, Tabora na Kigoma, Kigoma na Gitega, Tabora na Kigali, Tabora na Mwanza ambayo nayo inaunganisha na Kampala alafu unasema haiunganishi any major city? So ulitaka iunganishe New York na Dar? Kwahiyo hiyo yenu inayounganisha Nairobi na Naivasha ndio major cities?
Acha wivu weweMines ambazo hazina pesa?
Dar ni nusu ya uchumi wa Tanzania, yani 50%. Zanzibar 30% alafu 20% ya uchumi ndio inabaki Tanganyika. Hii SGR inatoka Dar inaelekea Tanganyika ambako hakuna uchumi, abiria wala mzigo. Its a waste.
Ukweli usiuite wivu. Uchumi wa Tanzania uko concentrated along the coast. Dar na Zanzibar. Tanganyika hakuna kitu isipokua vijiji.Acha wivu wewe
Mkuu nishakusoma kumbe unatumia akili za kuazimaMines ambazo hazina pesa?
Dar ni nusu ya uchumi wa Tanzania, yani 50%. Zanzibar 30% alafu 20% ya uchumi ndio inabaki Tanganyika. Hii SGR inatoka Dar inaelekea Tanganyika ambako hakuna uchumi, abiria wala mzigo. Its a waste.