Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania huwa ina plan za miaka 100 mbele, jamaa zetu plan zao zinategemea na mazingira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walishaukimbia huu uzi kitambo ila cc tutaendelea kuwapiga spana mpk wakohoe damu.Hii Battle imefungua watu macho ni nani anafanya miradi yenye tija. Wakati wengine wakipanga na kufanya miradi ya kimkakati taratibu taratibu, wengine wako busy wakifanya miradi ya kukurupuka kwa ajili ya kujionesha. Mwisho wake ndio huu, watu wanakimbia uzi kabla hata hatujamaliza[emoji28][emoji28]
Kwani we bado unataka battle ya SGR [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Tutafanya[emoji1241]" vs "tunafanya[emoji1139]"
View attachment 2397207View attachment 2397208View attachment 2397209View attachment 2397210
Wivu utakuuwa wewe nyang’au mwitu."Tutafanya🇹🇿" vs "tunafanya🇰🇪"
View attachment 2397207View attachment 2397208View attachment 2397209View attachment 2397210
Oneni mzigo huo nyambaffffff!
Mzigo wa umeme huo lakini sio EMU utakuwa unavutwa na electric locomotives. Huu ni tofauti na mzigo wa EMU toka Hyundai RotemMzigo wa diesel?
Mbona Haina tofauti na ya wakenya?
Oneni mzigo huo nyambaffffff!
Hii ni kama ya wakenya tofauti yake ni kuwa itavutwa na electric locomotive. EMU zinazotengenezwa na Hyundai Rotem ndizo zitakazokua tofauti kdg zenye behewa 8 na kuwa na vichwa 2 kimoja mbele na kingine nyuma. Lazima uwe na mix hii ya train kwa biashara maana hii inaweza kubeba behewa nyingi sana.Mbona Haina tofauti na ya wakenya?