Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Miaka zaidi ya 40 baadae TAZARA imechoka si TZ wala Zambia ambayo zimeitendea haki reli hii kila uchwao nchi hizi zinaendelea kuomba misaada china ya kuendelea kuiendesha imefikia hatua nchi hizi zinapewa mpaka fedha za msaada za kununua mafuta ya treni hizi aibu ilioje na hayo mafuta bado yanaibwa vilevile! Mchina aliwajengea karakana nzuri sana ya kukarabati mabehewa na mambo mengine yahusuyo treni leo hii karakana iko hoi bin taaban......steshen ya TZR dar imechoka mnoo ikinyesha mvua si kuvuja huko aisee africa laana tupu😭😭😭
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Meanwhile kwa jirani sasa working horses zao [emoji16]View attachment 2696728
chinese first class ati! hata BlietzKrieg, mwathadan n Teargass husema hivyo! ati wako miaka 30 mbele yetu! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ‘†πŸ‘†

Mko na trains za kawaida, kama tu za Kenya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…