Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Tuliambiwa vichwa vya treni vitafika mwishoni mwa mwezi wa saba au mwanzoni mwa mwezi wa nane. Huu mradi umejaa uongo kweli
 
Tuliambiwa vichwa vya treni vitafika mwishoni mwa mwezi wa saba au mwanzoni mwa mwezi wa nane. Huu mradi umejaa uongo kweli
Kwa TRC ninayo ijua mimi usitegemee wakawa wakweli ndugu
 
Alafu mradi uje ufanikiwe ni ngumu sana. Safari za mbali wakiweza kuanza ziwe zinafanyika usiku baada ya mchana kuokoa muda.
Soon or later mgr itakufa then itafuata sgr mana hawataweza kuimanage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…