Habari ya 2019 unaleta sasa hivi?
Huyo nyang'au Lewis254 ana wivu sana na mradi wa sgr ya umeme ambayo wao hawana kule unyang'auni ππHabari ya 2019 unaleta sasa hivi?
Kuwa serious we jamaa.
We unachokifanya ni sawa na kubaka jiwe.
Haswa huyu nyang'au anayejiita Lewis254 πWale mbwa wa Kikunya wako wapi?
Unachekesha kweli kweliπππmabumbumbu wazungu wa reli π
jamaa washamba kupindukia
Mgonjwa Mtumbafu acheni uzala bhana. ni kama umetoka town na gari lako kuenda kijijini, baada ya kuPark, unaona wamama, wazee na vijana wanalizunguka gari hilo huku wanaimba, wengine wanajaribu kuligusa na kutoa vumbi....Haswa huyu nyang'au anayejiita Lewis254 π
Mshamba hutumia garimoshi! Umepita twitter kuona wenzio wanavyougulia?mabumbumbu wazungu wa reli π
jamaa washamba kupindukia
Upuuzi mtupu.Mgonjwa Mtumbafu acheni uzala bhana. ni kama umetoka town na gari lako kuenda kijijini, baada ya kuPark, unaona wamama, wazee na vijana wanalizunguka gari hilo huku wanaimba, wengine wanajaribu kuligusa na kutoa vumbi....
Halafu nimeona siasa zenu ni za kizamani sana za kujikombakomba ati 'nani kama mama sa100'. kwani pesa ilotumika kwenye mradi imetoka mfukoni mwake? yani nawaona washamba ajabu
Wakenya Hata walie machozi ya aina gani hawatajenga reli yenye Kiwango Kama hii , na sio Kenya tu ni nchi zote afrika kasoro Morocco .We unachokifanya ni sawa na kubaka jiwe.
View attachment 2938039