Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

mabumbumbu wazungu wa reli πŸ˜‚
jamaa washamba kupindukia
 
Haswa huyu nyang'au anayejiita Lewis254 😎
Mgonjwa Mtumbafu acheni uzala bhana. ni kama umetoka town na gari lako kuenda kijijini, baada ya kuPark, unaona wamama, wazee na vijana wanalizunguka gari hilo huku wanaimba, wengine wanajaribu kuligusa na kutoa vumbi....
Halafu nimeona siasa zenu ni za kizamani sana za kujikombakomba ati 'nani kama mama sa100'. kwani pesa ilotumika kwenye mradi imetoka mfukoni mwake? yani nawaona washamba ajabu
 
Upuuzi mtupu.
 
wakati wenzetu wakishangaashangaa glasi ya maji juu ya meza, hapa ndipo tulipofikia, and still counting πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…