kwani ww haujui baba lovo yuko kwa payroll ya serikali na anakula hela ndefu sana kuifanyia PR? usijitoe ufahamuKina baba levo na Bertin walioruhusiwa kuingia waliingiaje?
Umetumiwa video na Somi hapo inamaanisha waliruhusiwa waliokidhi vigezo.
Hao ambao hawajaingia hawakukidhi vigezo hivyo rekebisha kauli sema "baadhi ya waandishi habari hawakuruhusiwa".
Poleni mtaumia sana aisee.View attachment 2985559
Unatapatapa kama kuku anayetaka kutaga mayaiπππWabongo bhana.... πππ ni lini mtakua na akili?
View attachment 2985630View attachment 2985631View attachment 2985632
Bertin nae anakula hela ya serikali!?kwani ww haujui baba lovo yuko kwa payroll ya serikali na anakula hela ndefu sana kuifanyia PR? usijitoe ufahamu
Unahangaika nn? Juzi mlikataa cargo plane yetu isiende Nairobi, vp mbona hamkuendelea kubisha baada ya KQ ban?Wabongo bhana.... πππ ni lini mtakua na akili?
View attachment 2985630View attachment 2985631View attachment 2985632
Hawana hela uchumi ungaunga jidipii ya mchongo wanangoja wajengewe π€£π€£π€£
View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1787741776343711773
MY TAKE
Sio mnatupigia kelele humu budget ya SGR Kunyaland-Uganda ipo wapi? SGR Tanzania over $500mln imetengwa!
Teargas mpumbavu@mwaithan n NairobiWalker
If wishes were horses UAE would run Tz SGR come 2032 π€£π€£π€£ unataka iwe kama SGR yenu inaendeshwa na mchina π
Kama nchi unawezaje kweli kukosa hela ya kutandika reli isiyokuwa ya umeme?!!!! Miundombinu yake haina complications kama reli ya umeme πkwa akili yako ni yupi aliye win ? Aliyeanza na kuendelea au asiyeanza kabisaaaa kwa kukosa ela πππ Tena reli isiyo ya umeme.
Now you base your arguments on guess works. Akili maandazi hii π€£π€£π€£πππ View attachment 2984891
Gari moshi la mizigo lazima litumie masaa 12 Nairobi Mombasa section kipande cha 450km.Garimoshi litafika Nairobi saa ngapi ????
jamaa, wacha bhangi. uliwai ona wapi 'Electric train ya mizigo' ndani ya Tz. nakwambia kila siku wachana na ndoto za mchana.Electric train ya mizigo Tz inachukua masaa 7 Dar mpaka Mwanza distance of 1000km
ile headache munayoenda kukutana nayo huko mbele πππ... akili zenu nyote zinakaa ki kinjekitile ngwale π€£Kama nchi unawezaje kweli kukosa hela ya kutandika reli isiyokuwa ya umeme?!!!! Miundombinu yake haina complications kama reli ya umeme π
Dar to mwanza ni 1200+ kmsGari moshi la mizigo lazima litumie masaa 12 Nairobi Mombasa section kipande cha 450km.
Electric train ya mizigo Tz inachukua masaa 7 Dar mpaka Mwanza distance of 1000km
Unye kwenye plastic bag alafu ulale na kinyesi ndani utapata wapi akili wewe mkundustan
ndugu, tungependa uelewe kwamba, reli ni toka DSM hadi Mwanza, ila kipande ambacho kimeshakamilika ni Dar to Dodoma. Dar to Mwanza inapita Dodoma, na kama una ndugu zako wa Kisumu ambao huwa wanafika Mwanza watakuambia kuwa wameona madaraja ya juu jijini mwanza ya kupitisha reli kuanzia ziwani. muda si mrefu kipande cha Dodoma to Mwanza kitakamilika hivyo train itaanzia Dar hadi Mwanza kwa masaa si zaidi ya 7. Tanzania ni kubwa, mwanza to Dar ni mbali sana, na ujue Tanzania ukubwa wake unganisha Uganda, kenya, rwanda na Burundi ndio utapata Tanzania.jamaa, wacha bhangi. uliwai ona wapi 'Electric train ya mizigo' ndani ya Tz. nakwambia kila siku wachana na ndoto za mchana.
reli ni dar - dom, 540km. sasa huko kwingine huwa inapaa?
Kenya ataumia Tanzania ikifunga mpaka .Wabongo bhana.... πππ ni lini mtakua na akili?
View attachment 2985630View attachment 2985631View attachment 2985632
Linajua hilo lijamaa linalojiita Lewis254 sema tu limeamua kujizima dataππndugu, tungependa uelewe kwamba, reli ni toka DSM hadi Mwanza, ila kipande ambacho kimeshakamilika ni Dar to Dodoma. Dar to Mwanza inapita Dodoma, na kama una ndugu zako wa Kisumu ambao huwa wanafika Mwanza watakuambia kuwa wameona madaraja ya juu jijini mwanza ya kupitisha reli kuanzia ziwani. muda si mrefu kipande cha Dodoma to Mwanza kitakamilika hivyo train itaanzia Dar hadi Mwanza kwa masaa si zaidi ya 7. Tanzania ni kubwa, mwanza to Dar ni mbali sana, na ujue Tanzania ukubwa wake unganisha Uganda, kenya, rwanda na Burundi ndio utapata Tanzania.
lakini ni treni hii hii iliyomaliza masaa matano njiani kutoka dar - moro 200km sasa kutoka dar mpaka mwanza si itamaliza wiki nzima?ndugu, tungependa uelewe kwamba, reli ni toka DSM hadi Mwanza, ila kipande ambacho kimeshakamilika ni Dar to Dodoma. Dar to Mwanza inapita Dodoma, na kama una ndugu zako wa Kisumu ambao huwa wanafika Mwanza watakuambia kuwa wameona madaraja ya juu jijini mwanza ya kupitisha reli kuanzia ziwani. muda si mrefu kipande cha Dodoma to Mwanza kitakamilika hivyo train itaanzia Dar hadi Mwanza kwa masaa si zaidi ya 7. Tanzania ni kubwa, mwanza to Dar ni mbali sana, na ujue Tanzania ukubwa wake unganisha Uganda, kenya, rwanda na Burundi ndio utapata Tanzania.
ma chawa wana shida sana. wagumu kuelewaMama kazi imemshinda....Yepi wamesimama tangu Oct kati Tabora na Dodoma hakuna kitu wakandarasi wanadai sana kila siku story za TRC na Yepi hela hakuna kutoka hazina.....ADB wametukopesha nadhani wamechepusha hizo pesa.....acha isimame....tulisema kujwnga SGR ujanja ujanja miaka 20.....ma chawa wakabisha......