Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

😂😂😂😂😂🤭🤭 wanataka kushindana na ndovu kun ya??

 
Huku Kazi inapigwa Kenya endeleeni na siasa
kazi imebuma..... hebu pitia hapa 👇

kila siku munaonekana saiti na hakuna kazi inayofanyika... 🤣🤣🤣 shenzi sana.
 
reli inajengwa kwa vipande na sasa inakatika vipande vipande 🚮
 
Mwendokasi umetushinda ndio tutaweza SGR?
et..... 🤣🤣🤣🤣🤣
nawaambia humu kila siku hawaskii wanajifanya vichaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
asilimia 90 ndio hio imepotea sasa sijui huko kulikobaki treni itapaa kwa ungo au vipi 🤔 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…