Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Mimi leo nimeshangaa sana pale , nimetulia zangu , nakuta mtu saa 10: 02 nakuta mtu anasimama ana rediocall mwingine na kipendela wanataka kuzuia watu kuvuka pindi treni likikalibia. Mimi yeeeeeee
 
KWANGU mimi binafsi treni nimelipenda kwa kuliangalia hivi ni zuri sana hata ukiangalia kwenye picha au video.

Limenipita pale nimelipenda sana.
Siku ile niliingalia kwa mbali.
Halina kelele kama la kenya
Lewis254 ,
Yani ni raha sana kuliangalia.
 
KWANGU mimi binafsi treni nimelipenda kwa kuliangalia hivi ni zuri sana hata ukiangalia kwenye picha au video.

Limenipita pale nimelipenda sana.
Siku ile niliingalia kwa mbali.
Halina kelele kama la kenya
Lewis254 ,
Yani ni raha sana kuliangalia.
kuna mambo mengi sana zaidi ya 'looks' my friend. tukija kwenye suala kuu la logistics, hapo ndipo tunapoenda kuizika kabisa hiyo Nyenyenye Express!
 
kuna mambo mengi sana zaidi ya 'looks' my friend. tukija kwenye suala kuu la logistics, hapo ndipo tunapoenda kuizika kabisa hiyo Nyenyenye Express!
Wameshindwa kaka zako akina BoniYai na Mdude wewe ndio utaweza kuizika?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Endelea kujifurahisha hiyo picha si SGR Tanzania!
Wewe upo dsm nenda gongolamboto kaangalie.
Pale embankment in ndogo sana kujenga kivuko chini duu ngumu , pia pembeni kuna MGR

Labda wafanye hivi.

Muweke zege πŸ‘†ili kokoto zisitoke, na pia kuweka ngazi ni muhimu coz kuna embankment ila sio kubwa.



Hapo ndipo watu wanavuka hio picha ya gongolamboto, sasa unakaa unafikili za wapi??

Yani kwamba kumekuwa hivyo coz hakuna kivuko.
bongodili tele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…