Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Nazani majibu umepewa mubashara kabisa.. halafu rail yetu ni design & build ukielewa hili itakusaidia sana. Watu walisha ichambua waka conclude ni the best in Africa au tukuletee link [emoji23]
blah blah blah, kama kawa, zero actual substance
 
Vituo vya SGR vya soga na pugu vikiwa vinaendelea na ujenzi, alaf nimegundua hawa yapi markezi kama wanatumia high technology kujenga hvi vituo sijui watanzania mumegundua hicho kituπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Hzo ni roho mbaya budaa kubali kua wachina waliwacharaza ipasavyo
Polepole wanaona wasichoamini yaani sasa poles za umeme zinasimamishwa viaduct ya Stesheni-Buguruni nearly 50%! Vituo foundation zinajengwa.
 
Angalia post kama hii Kwa mfano.... eti " alaf nimegundua hawa yapi markezi kama wanatumia high technology kujenga hvi vituo "
Eti high technology... Hio ndo nini haswa??? Alafu kama kawa mtz mwenzako atalike na ku comment kitu kuhusu SGR Kenya alafu nyote mtaamua hakuna technojia kama hio Africa nzima.. blah blah ...

In reality hakuna lolote mnalojua kuhusu hivyo vituo exept render ya hicho kituo....
Mimi kwa SGR Kenya naeza kuambia hata ratio na Aina ya mchanga na density ya simiti iliotumika kulingana na kituo, naeza nikakwambia nguzo zilichimbwa Chini kiasi gani..etc
 
Sijaelewa ni hasira au umepanic budaa hebu andika bila kutumia hasira plz nikueleweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijaelewa ni hasira au umepanic budaa hebu andika bila kutumia hasira plz nikueleweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
just what I thought, hua hamuezi endelea mjadala zaidi ya hapo...
 
Anyway,

phase 2A drainage works at +km 46 (kampuni za Kenya za kibinafsi ndo hupewa kandarasi za kujenga mitaro as part of local content)



 
Polepole wanaona wasichoamini yaani sasa poles za umeme zinasimamishwa viaduct ya Stesheni-Buguruni nearly 50%! Vituo foundation zinajengwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani wanaumia sana sema wanajikaza kweli kweli
 
Cable laying and transformer installation at mid-point of ng'ong tunnel which is 4.5km long






Transformer Cavern at the mid-point of Ngong Tunnel


 
Anyway,

phase 2A drainage works at +km 46 (kampuni za Kenya za kibinafsi ndo hupewa kandarasi za kujenga mitaro as part of local content)



Construction of phase two morogoro to singida ujenzi unaendelea kwa kasi sanaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
After ngong tunnel which is tunnel no. 1 at the start of the great rift valley

Tunnel No. 2 Kumuka tunnel




tunnel 3. Nachu tunnel



 
Tuanze na kitu muhimu kama projected cargo demand/capacity ya kila mwaka
Hvi budaa hilo ni swali unaeza uliza??? Wewe unajua tanzania imezungukwa na nchi ngapi landlock countries demand ni kubwa sana sio tu kwenye cargo hata passengers still demand ni kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…