Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kila behewa Lina milango mbele na nyuma kuwezesha kyung is behewa lingine! Again wacha ubwege!

Vitu vya kawaida kwa roof kuto-cover the whole platform duniani!
View attachment 3023600
Sasa mbona unanilete animation.
Ndo maana nakuuliza duniani wakifanya hivi na vile na nyie mnafuata hivyo hivyo???????

Milango mbele ya nyuma ni kwa mabehewa mengi si ya hapa tu tz yapo mengi tuu, tena kuna mengine duniani huko mlango upo kati tuu na si mbele na nyuma.

Japan hio👆 kutokana na treni ilivyo design niwa.

Kuna nchi zingine mvua si nyingi ni kidogo sana inatokea kwa mara mara moja au 2 mpk 3 tuu.

So duniani huko wakinfanya hivyo na nyie huku mnafuata?????
We unajua kwa nini hawajaziba kote.
 
Punguza hasiri maana naona tuu mara uniambie nitaiba, mara bwege. Ndo shida yenu.

Kwa hio watu wa UK , India, France huko wakinyeshewa na mvua na wetu huku wanyeshewe??
😂😂😂 umeua nzi kwa nyundo leo. jamaa anazidi kuumbulika.... 👇
 
Daaah kazi ipo
 
But why the margin is so big
 
Sasa kama walikuwa wanajua kuwa treni litasukuma mabehewa 14 kwa nini wasingeziba kote,
Eti ni platform ya dunia mzima.
😂😂😂
ni vizuri naona sasa unamsoma vizuri. jamaa ni kishipa na amejawa ujinga tupu. sasa hapo analazimisha watu wanyeshewe kama ng'ombe na anashikilia hapohapo.
ni huyuhuyu ndio alikwambia jana uwaregeshee Waganda Mgr yao sasa utaexpect nn tena toka kwake? 🤣
 
Yes ni Kama kwetu sie tume-raise platform kurahisisha kupanda train kwenu nyie mnapanda halafu mnashuka!

Vitu unavyo-argue havina maana kuna abiria wana-prefer direct Sun rays!
 
Kwahiyo Tanzania ina mvua kuliko Japan? Leta proof!
 
Yes ni Kama kwetu sie tume-raise platform kurahisisha kupanda train kwenu nyie mnapanda halafu mnashuka!

Vitu unavyo-argue havina maana kuna abiria wana-prefer direct Sun rays!
Aaa mimi mbongo kama kama wewe tuu.
Sababu hazina mashiko
 

Jamaa amekaa hapo anasubiri treni kutoka moro , ili azuie watu wasipite.
Hii picha nimepiga leo saa 4 asubui. Kataa na hio.
Nimeamua kumziba tuu sura.
 
Suala hilo limeshaonwa na uongozi. Linashughulikiwa. Kwenye mradi mkubwa kama huu huwezi kuziba mapungufu yote kwa wakati mmoja. Elewa hilo😎
leta upungufu hata mmoja wa Kenya Sgr. na usilete mambo ya miaka kumi iliopita wakati mkandarasi bado yupo site
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…