Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #17,161
Jina langu tukufu na mambo niliyoandika yanahusianaje?πKweli wewe ni magonjwa mtambuka, na hayo magonjwa yameathiri ubongo wako,...
Kwani wewe na kaka yako BoniYai mlitakaje?πkipya kinyemi π€£
muache kukurupukaKwani wewe na kaka yako BoniYai mlitakaje?π
Hii maneno inakuja kipindi kizuri sana yaani kipindi ca mtifuano wa jirani! Yaani na maandamano yaendelee kule mwaka mzima!Kwani wewe na kaka yako BoniYai mlitakaje?π
Mbona nyie mnakurupuka kila siku?muache kukurupuka
wapi?Mbona nyie mnakurupuka kila siku?
kwenye ile SGR yenyu angalia vizuri huu mtungi ya chang'aa! ππwapi?
Mfano wa haraka hii hii SGR.wapi?