Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Health care provider yupi?
Nurse,medical attendant,physician au nani?
Mie mwenye ni health care provider na nimetembelea hospitali nyingi tu hasa ikiwemo kitengo cha mifupa MOI na kitengo cha moyo JKCI.
Usinichukulie poa man.
Muhimbilii ina sekta mbili,binafsi na huduma ya jumla.
Ulishawahi tembelea upande wa huduma binafsi ukaona kukoje?
Pia ni mwaka gani huo ambao muhimbili vitanda havitoshi!?
Unaweza ukatuletea ushahidi mwaka huu ikisemekana muhimbili vitanda havitoshi!?
Acha kuongea uongo.
Narudia kukwambia upande wa moyo na mifupa hapa Afrika ni S.Afrika tu ndio wako mbele yetu.
Serikali ya Tanzania huu ukanda ndio imejitahidi kuboresha huduma za afya katika sekta ya serikali.
Kenya unayotaka kuisifia huduma bora za afya nguli ni sekta binafsi sio ya serikali.
Hiyo Kenya mwaka huu waliishiwa dawa za TB hospitali zao za serikali,TANZANIA NDIO ILIWASAIDIA KENYA DAWA ZA TB.
KAMA UKITAKA USHAHIDI NINAO NAKULETEA.
Kuishiwa baadhi ya vifaa ama kutosheleza inatokea kwasababu idadi ya watu kuongezeka.
Ila serikali inafanya hima kuweka vifaa vilivyokosekana ili kukidhi mahitaji.
Njoo na tambo ingine sio hii mkuu.
Kwa Tanzania infusion fluid tunanunua wapi???
Achana na zinazotengeneza infusion unit, kama st.francis hospital kule.
Kwani Tanzania syringe 💉 tunanunua wapi???
Hasa medical supplies? Tunanunua wapi???

WEWE NDO ACHA UHONGO
NA NINARUDIA ACHA UHONGO.
KAMA WEWE NI CHAWA SAWA.

WEWE mwenyewe upo TZ hapa unajua hali halisi. Unaleta ubishi tuu.
🤣🤣🤣🤣
 
Mimi ni mbongo nazungumzia vitu vya bongo, achana na kudanganya hapa kijana.
Unaleta ubishi tuu kubishana na wakenya na vyakwao huko.
Mimi mwenyewe mzee wangu ana shida moja ya afya , daktari mmoja pale wa mwimbili alimwambia aachane napo kwa kuwa madaktari wa pale wanakimbilia operation , akaambia sometimes operation yaweza leta shida nyingine. Hapo hapo unapopasifia mkuu. Akamwambia aende kwingine.
 
UKIONA WATU WAMEKUZIDI KIUCHUMI UJUE WAMEKUZIDI VITU VINGI NDUGU YANGU ACHA UBISHI TUU.

SASA tukirudi kwa kenya uchumi wa kenya ni mkubwa kuliko wetu.
Wewe unafikili inamaana gani???
 
Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
Health care provider wa cadre gani?
 
Health care provider gani unayeandika Mwimbiri badala ya Muhimbili?
hata akiandika tumbiri kuna shida gani so long as umepata concept ya anachomaanisha... ni kawaida sana kupata daktari asiye na mwandiko mzuri. ww ukishaona tu '1x1' au '1x3' huko kwengine jijazie
 
Back
Top Bottom