π€£π€£ umeishiwa nnunafikili=unafikiri
hadhalini=hadharani
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Uhongo ndio nn? Uduma ndo nn? Mwimbiri ndo nn? We Mkundustan wacha kujilazimishia Utanzania na typos hizo!
Kwa Tanzania infusion fluid tunanunua wapi???Health care provider yupi?
Nurse,medical attendant,physician au nani?
Mie mwenye ni health care provider na nimetembelea hospitali nyingi tu hasa ikiwemo kitengo cha mifupa MOI na kitengo cha moyo JKCI.
Usinichukulie poa man.
Muhimbilii ina sekta mbili,binafsi na huduma ya jumla.
Ulishawahi tembelea upande wa huduma binafsi ukaona kukoje?
Pia ni mwaka gani huo ambao muhimbili vitanda havitoshi!?
Unaweza ukatuletea ushahidi mwaka huu ikisemekana muhimbili vitanda havitoshi!?
Acha kuongea uongo.
Narudia kukwambia upande wa moyo na mifupa hapa Afrika ni S.Afrika tu ndio wako mbele yetu.
Serikali ya Tanzania huu ukanda ndio imejitahidi kuboresha huduma za afya katika sekta ya serikali.
Kenya unayotaka kuisifia huduma bora za afya nguli ni sekta binafsi sio ya serikali.
Hiyo Kenya mwaka huu waliishiwa dawa za TB hospitali zao za serikali,TANZANIA NDIO ILIWASAIDIA KENYA DAWA ZA TB.
KAMA UKITAKA USHAHIDI NINAO NAKULETEA.
Kuishiwa baadhi ya vifaa ama kutosheleza inatokea kwasababu idadi ya watu kuongezeka.
Ila serikali inafanya hima kuweka vifaa vilivyokosekana ili kukidhi mahitaji.
Njoo na tambo ingine sio hii mkuu.
Tabia ya kutukuza watu hii sijui tutaacha lini.
Jifunze kuandika kwa ufasaha wewe. Acha upuuzi wako.π€£π€£ umeishiwa nn
BRT π€£π€£π€£wapi?
Hii ni Electric continuous welded environmentally friendly SGR the only bureti treni in East Africa π
Health care provider wa cadre gani?Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
Health care provider gani unayeandika Mwimbiri badala ya Muhimbili?Mimi ni health care provider...
...Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
ni ngumu sana kuacha hii tabia wakati watu tunaowaaminia ni sampuli ya kina Kosugi, eliakeem na injinia boya coodip1. hakika tuna safari ndefu sanaTabia ya kutukuza watu hii sijui tutaacha lini.
HII tabia ya kutukuza watu , unamfanya mtu ajiinue ajione yeye ni bora kuliko wengine.
Sijui tutaacha lini hii tabia. Daaa
hata akiandika tumbiri kuna shida gani so long as umepata concept ya anachomaanisha... ni kawaida sana kupata daktari asiye na mwandiko mzuri. ww ukishaona tu '1x1' au '1x3' huko kwengine jijazieHealth care provider gani unayeandika Mwimbiri badala ya Muhimbili?
πππ
ni vizuri pia ww umeona. π€£hii kitu ni white elephant........ ndio shida ya kufanya mambo kwa kukurupuka!
Mkuu kuna mjadala wa Dar vs Nairobi nenda kule huku usituharibie uzi mkuu.Kenya GDP ni karibu mara 2 na wetu huu.
Wewe unafikilia nini??