Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #17,301
kuna kitu kinaitwa standards huwezi ukaruhusu waingize vifugo hai kwenye mabehewa! Zile wagons hazitabaki salama! Kama wanataka kusafirisha nyama basi watumie mabehewa ya jokofu yanayokuja!yapi maoni yako kuhusiana na hii inshu mwana KOMANDO YOSO. binafsi mm naona jamaa wameanza ubaguzi π
View attachment 3039420
yap overpasses nyingi bado ila treni inapita na pia fence inajengwa!haijakamilika
Kenya wanasafirisha mpk kuku ninikuna kitu kinaitwa standards huwezi ukaruhusu waingize vifugo hai kwenye mabehewa! Zile wagons hazitabaki salama! Kama wanataka kusafirisha nyama basi watumie mabehewa ya jokofu yanayokuja!
Hapana basi panda flight to Nairobi na kuku uone kama urudishwi masuala mengine ya ujima lazima tuyaache ndugu ubora uzingatiwe..yapi maoni yako kuhusiana na hii inshu mwana KOMANDO YOSO. binafsi mm naona jamaa wameanza ubaguzi π
View attachment 3039420
Uganda wanasema wataanza ujenzi kwao mwezi December.
Huwezi kujua labda matenga huruhusiwa kwa SGR Kenya (Ukunyani)! π π πKenya wanasafirisha mpk kuku nini
π€£π€£
Kuku pandisheni huko Kenya kwenye SGR trains zenu huku sisi hatutaki tumeshatoka huko.yapi maoni yako kuhusiana na hii inshu mwana KOMANDO YOSO. binafsi mm naona jamaa wameanza ubaguzi π
View attachment 3039420
Nadhani kuna vichwa hybrid umeme na diesel.Uganda wanasema wataanza ujenzi kwao mwezi December.
Sasa nimeshidwa kuelewa wanajenga afu wanakotaka kutoa mizigo bado sana.
Wanataka kujenga ya umeme , kwenda kenya nafikiri watabadilisha vichwa
sasa lile begi lako la 'shangazi kaja' limekosa nini hadi walipige marufuku. mihogo yako pamoja na miwa utaibebaje kuja nayo dar?Hapana basi panda flight to Nairobi na kuku uone kama urudishwi masuala mengine ya ujima lazima tuyaache ndugu ubora uzingatiwe..
Size yake mbona unakuwa unawashwa na maamuzi ya kampuni ya Tanzania kuliko ya nchi yako? BTW narrow gauge trains hazikatazi shangazi kaja na kuku!sasa lile begi lako la 'shangazi kaja' limekosa nini hadi walipige marufuku. mihogo yako pamoja na miwa utaibebaje kuja nayo dar?
ni asili yetu sisi Watanzania tunapokwenda vijijini kuwatembelea baba zetu na shangazi zetu hawawezi kutuacha turudi mjini hivi hivi. wewe ukipewa kuku na shangazi yako utamwacha?Kuku pandisheni huko Kenya kwenye SGR trains zenu huku sisi hatutaki tumeshatoka huko.