China usifananishe na sisi wala wewe mazeh.
Kuna wagon za mizigo , wagon za abiria huezi Fanya kubebea mizigosasa lile begi lako la 'shangazi kaja' limekosa nini hadi walipige marufuku. mihogo yako pamoja na miwa utaibebaje kuja nayo dar?
njema 👍🏽.Kuna wagon za mizigo , wagon za abiria huezi Fanya kubebea mizigo
Umeanza kuwa kama Kigwangala sasa🙂njema 👍🏽.
lakini wameruhusu mwisho wa kubeba mzigo uwe 30kg. swala lipo hapa kwa begi la 'shangazi kaja'! limekosa nini hadi lipigwe marufuku?
mkuu, hujanielewa, nchi hii imejaa masikini wengi, kila mtu anajikuna pahali anapofikia. huezi niambia nitoe pesa ninunue sanduku Tsh 30,000 wakati naona hapa kuna 'shangazi kaja' la Tsh 3,000. No way mkuu.
huu ni ubaguzi wa watu wa hali ya chini/ wanyonge...
usiwe mtu wa kubebewa akili kila wakati.Umeanza kuwa kama Kigwangala sasa🙂
Mbona unajifanya 254 wewe vipi?usiwe mtu wa kubebewa akili kila wakati.
najifanya kivipi?Mbona unajifanya 254 wewe vipi?
Kivile🙂najifanya kivipi?
We jamaa unahangaika kutafuta justification aisee doooh!?njema 👍🏽.
lakini wameruhusu mwisho wa kubeba mzigo uwe 30kg. swala lipo hapa kwa begi la 'shangazi kaja'! limekosa nini hadi lipigwe marufuku?
mkuu, hujanielewa, nchi hii imejaa masikini wengi, kila mtu anajikuna pahali anapofikia. huezi niambia nitoe pesa ninunue sanduku Tsh 30,000 wakati naona hapa kuna 'shangazi kaja' la Tsh 3,000. No way mkuu.
huu ni ubaguzi wa watu wa hali ya chini/ wanyonge...
kwani Waha sio watu? we jamaa ni mbaguzi wa kutupwaWe jamaa unahangaika kutafuta justification aisee doooh!?
Hakuna aliyebaguliwa hapo.
Kama unataka kujua kwanini shirika limeweka exceptional ya mizigo tembelea narrow gauge uone namna waha walivyo wachafuzi wa mazingira.
Shirika lina akili kuliko wewe na limefanya maamuzi hayo likiwa na maana yake,wewe ni nani bro ukishinikiza waonekane wamekosea!?
okKivile🙂
Naweza kuona hutumii akili we jamaa.kwani Waha sio watu? we jamaa ni mbaguzi wa kutupwa
Halafu treni yetu sio rural train bali ni intercity train.China usifananishe na sisi wala wewe mazeh.
Hao wana aina nyingi za commuter trains.
Hata sisi pia tuna treni zinaruhusu kufanya hicho ambacho wanakifanya wao.
Hata huko China sio kila treni unaweza fanya hivyo.
Huyo achana naye kipele kinamuwasha.Halafu treni yetu sio rural train bali ni intercity train.
amka ww, utakojoa kwenye kitanda.Halafu treni yetu sio rural train bali ni intercity train.
njema 👍🏽.
lakini wameruhusu mwisho wa kubeba mzigo uwe 30kg. swala lipo hapa kwa begi la 'shangazi kaja'! limekosa nini hadi lipigwe marufuku?
mkuu, hujanielewa, nchi hii imejaa masikini wengi, kila mtu anajikuna pahali anapofikia. huezi niambia nitoe pesa ninunue sanduku Tsh 30,000 wakati naona hapa kuna 'shangazi kaja' la Tsh 3,000. No way mkuu.
huu ni ubaguzi wa watu wa hali ya chini/ wanyonge...
Huyu jamaa anajaribu kubaki relevant!
DuuuuuNa
Nadhani kuna vichwa hybrid umeme na diesel.
Hakuna tena Shangazi kaja...
Cc: @Mahondaw
hakika hili limenikwaza sana kuona kua watu wa chini/ wanyonge/ masikini/ walio wengi wanatengwa na kubaguliwaUtani wa ngumi huo mjuee !
Watu tushazoea kubeba mifurushi kama yote😊 !