Aiseee hivi hii reli inapita wapi wadau sijawahi kuiona
wawache waendelee na sifa zao 🤣Kuna fununu serikali inazuia picha, ije kuzitoa kupitia media ikulu. Wanapendaga sifa.
We endelea kupiga kelele zisizo na maana,kelele za debe tupu.mbuzi kweli ww. reli ina-cost billions of dollars of taxpayers hard-earned money na upo hapa kusifiasifia kwa kuwa ww ni chawa wa mama yaani huna akili kabisa.
nakuhakikishia hio ingekua ndani ya Kenya, mm binafsi nalianzisha kwa kuandamana hadi kieleweke!!!
View attachment 3042027
View attachment 3042028
What da fvck???
View attachment 3042029
Hawa ndio wanaosababisha raia kuuawa, subiri alshabaab waingie mitaa yao walianzishe, ujanja wote kuishnei, halafu waombe msaada USA 🇺🇸We endelea kupiga kelele zisizo na maana,kelele za debe tupu.
Ila utake usitake hilo eneo halina athari kama unavyojaribu kuaminisha watu humu.
Badala yake laumuni serikali yenu kwa kujenga reli ya pesa nyingi halafu ni joint rail.
nahofia sana usalama wa maisha yangu kwenye reli cheap namna hii 👇We endelea kupiga kelele zisizo na maana,kelele za debe tupu.
Ila utake usitake hilo eneo halina athari kama unavyojaribu kuaminisha watu humu.
Badala yake laumuni serikali yenu kwa kujenga reli ya pesa nyingi halafu ni joint rail.
Mnapaka lipstick nguruwe!The luxury train services will accommodate 28 passengers, providing ample legroom and personal space with fully reclining seats for ultimate relaxation during the journey.
View attachment 3041997
View attachment 3041996
View attachment 3041998
Maneno ya mkosaji hayo,Tanzania ina watu wa kutathmini ubora wa viwango vya reli,kama kungelikuwa kuna shida basi ingesemekana.nahofia sana usalama wa maisha yangu kwenye reli cheap namna hii 👇
View attachment 3042147
View attachment 3042148
treni inaweza ika-derail mda wowote.
halafu hio ni sample tu, the whole network looks that way hadi serikali ikapiga marufuku kupiga picha.
ww hebu jiulize kwa nini machawa humu walimshukia kama mwewe yule muungwana mr Dude kwa kumkaripia na kumfukuza kama mbwa koko kisa ali-post picha za 🤣
Jinga sana ww 🤣Najivunia na Tanzania yangu japo hali ya maisha sio nzuri kivile, ila muhimu amani tu.
Sweet potatoes Ukunyani ni delicacy reserved for the rich!Jinga sana ww 🤣
View attachment 3042162
South Africans are bias and jealous.
Kwanini umesema hivyo kaka!?South Africans are bias and jealous.
😂😂Picha ya SGR Morogoro wapi?
Hao jamaa wako hivyo na hawapendi kuona wako wako nyuma kama wakenya. Mradi huu sio mkopo toka Dar to Moro to Dodoma kama walivyodai kwenye taarifa yao.Kwanini umesema hivyo kaka!?
Au comments ndio wame comment vibaya!?
Nimesikia ndio,wanadai kuwa tumekopa pia mradi umesuasua sana kisa uhaba wa fedha.Hao jamaa wako hivyo na hawapendi kuona wako wako nyuma kama wakenya. Mradi huu sio mkopo toka Dar to Moro to Dodoma kama walivyodai kwenye taarifa yao.
Still no air conditioning system 🤣🤣🤣The luxury train services will accommodate 28 passengers, providing ample legroom and personal space with fully reclining seats for ultimate relaxation during the journey.
View attachment 3041997
View attachment 3041996
View attachment 3041998
Ziko option nyingi za reli Tz zote zinafanya kazi na pia for MGR there is a special goods wagons along the passengers train that you can put hard luggages, cargo and live animals.hakika hili limenikwaza sana kuona kua watu wa chini/ wanyonge/ masikini/ walio wengi wanatengwa na kubaguliwa
Seriously kenya hizo 3k km Kazitoa wapi maana hawa data zao za uongouongo kama za barabara 🤣🤣🤣
View: https://x.com/__abdulazack/status/1811814850147807694
MY TAKE
Keeps growing we will be number 3 when the whole SGR is complete!
Shikamoo mchina 🙌 kamatia hapohapo usiachie wajione wako kwenye ndege japo inachukua masaa 6 a distance of 450km unajua kweli kuwapumbaza hawa nyangau 🤣🤣🤣🤣View attachment 3041640
Hapa ndo walipofikia jirani zetu baada ya upepo mkali wa SGR yetu, tuwaombee! Behewa moja halafu limeandikwa kichina tupu ukute mkwanja wote unaelekea kwa Soviet dah mchina analamba anavyotaka hizi nyang’au.