Ona hii ng'ombe.what about food security Ldc. talk to me
Nchi inayojinasibu imeendelea lazima iwe na food security,ila kwa Kenya ni tofauti.
Kenya ni nchi iliyo katika orodha inayopokea msaada wa vyakula kutoka WFP.
Je taifa lililoendelea linapokea msaada wa vyakula!?