tumia akili basi. ww unadhani Sgr Kenya imeanza leo ama jana?? Kenya tumeanza kutumia Sgr takriban miaka kumi iliopita..... nyinyi bado sana.Sawa ila tuko kwenye idadi ya abiria kwa miezi miwili tu abiria waliotumia sgr Tanzania ni zaid ya iliyotumika miezi miwili ya mwanzo kenya
Kweli watanzania ni washamba ila mbona Kenya hata baada ya miaka kumi ya kutumia sgr Bado mwapiga picha ?tumia akili basi. ww unadhani Sgr Kenya imeanza leo ama jana?? Kenya tumeanza kutumia Sgr takriban miaka kumi iliopita..... nyinyi bado sana.
huu ni upepo tu unaopita ππ
View attachment 3077318
bado muko kwa stage ya kukenuakenua meno ili mupate experience. wengi wenu ni ma-joyriders, idlers na watu wa kujipiga ma-selfies na content creators.
ondoeni ushamba kwanza then we get down to business...
View attachment 3077319
ni wapi umeona?Kweli watanzania ni washamba ila mbona Kenya hata baada ya miaka kumi ya kutumia sgr Bado mwapiga picha ?
Nyani haoni kunduleπKweli watanzania ni washamba ila mbona Kenya hata baada ya miaka kumi ya kutumia sgr Bado mwapiga picha ?
Sina cha kubishana hapa.lete hapa statistical data ππ kwahio hata mimi nikikwambia kijijini kwetu napata lita moja kwa 20ksh, utaniamini???
nilikutahadharisha kuja na kauli kama hizi ππ
Kutokua na uhakika na balaa njaa vinafanana!??πππ
View attachment 3076781
Huyo unayemshabikia ameshajua kama alikosea.jamaa ni mbishi tu. typical bongolala, going round in circles!
Maoni ya mtu mmoja hayabadilishi kuwa Kenya si kitu bali ni nchi ya njaa tu.
vitu vinaonekana... sio? ππSina cha kubishana hapa.
Kuna mambo sio ya kubishana maana utaonekana mpumbavu.
Najua inakuuma sana ila hizo ni changamoto tu ambazo zinatatulika.Nauli pekee yake imewashinda...
View attachment 3077572
View attachment 3077573
View attachment 3077574
anguko linakuja hivi karibuni.
Bado hauwez linganisha passenger trend ya sgr kenya na Tanzania .tumia akili basi. ww unadhani Sgr Kenya imeanza leo ama jana?? Kenya tumeanza kutumia Sgr takriban miaka kumi iliopita..... nyinyi bado sana.
huu ni upepo tu unaopita ππ
View attachment 3077318
bado muko kwa stage ya kukenuakenua meno ili mupate experience. wengi wenu ni ma-joyriders, idlers na watu wa kujipiga ma-selfies na content creators.
ondoeni ushamba kwanza then we get down to business...
View attachment 3077319
Sasa haka kanauli ka ksh 1500 kamekimbiza wateja jaribu kuringanisha na ya bongo ambayo Kuna ya ksh 1400 na ksh 1800 na zote ziko full be booked mpaka jumatatuNauli pekee yake imewashinda...
View attachment 3077572
View attachment 3077573
View attachment 3077574
anguko linakuja hivi karibuni.
Nauli za treni yetu ni cheaper kuliko za Kenya.Bado hauwez linganisha passenger trend ya sgr kenya na Tanzania .
Economicwise kwanza Bado sgr ya Kenya inaendeshwa na wachina kwa miaka Saba huku ya Tanzania ikiendeshwa na watanzania lakin efficiency yake pamoja
Sasa haka kanauli ka ksh 1500 kamekimbiza wateja jaribu kuringanisha na ya bongo ambayo Kuna ya ksh 1400 na ksh 1800 na zote ziko full be booked mpaka jumatatu
Yao ilikuwa cheaper wakat wanaanza ilikuwa ksh 1000 Sasa umepanda mpaka 1500 sawa na kama 31000 Tsh wateja wamehepa wakat sisi business class ambayo inaanzia na 70000 ndo inaaanzaga kujaaa kabla economy kuishia, hapo Bado wanajiona middle income wakat wanayarudia mabas kwa kas ya ajabuNauli za treni yetu ni cheaper kuliko za Kenya.
Japo pia wanalalamika kwamba licha ya treni kuwa bei kuliko hata tiketi ya ndege,treni yenyewe still inaenda mwendo ambao mdogo usiposhana sana na basi halafu pia haina comfortability.Yao ilikuwa cheaper wakat wanaanza ilikuwa ksh 1000 Sasa umepanda mpaka 1500 sawa na kama 31000 Tsh wateja wamehepa wakat sisi business class ambayo inaanzia na 70000 ndo inaaanzaga kujaaa kabla economy kuishia, hapo Bado wanajiona middle income wakat wanayarudia mabas kwa kas ya ajabu
source yako dog mutua kishawahi kufika TZ?
Hii ni shida kubwa ina maana karne hii bado watu wanasafiri pamoja na wanyama ??source yako dog mutua kishawahi kufika TZ?
ww subiri ripoti ya Cag mwakani.... haiwezekani mtu unalipa buku, unafululiza dar mpaka dodoma... ππBado hauwez linganisha passenger trend ya sgr kenya na Tanzania .
Economicwise kwanza Bado sgr ya Kenya inaendeshwa na wachina kwa miaka Saba huku ya Tanzania ikiendeshwa na watanzania lakin efficiency yake pamoja
Sasa haka kanauli ka ksh 1500 kamekimbiza wateja jaribu kuringanisha na ya bongo ambayo Kuna ya ksh 1400 na ksh 1800 na zote ziko full be booked mpaka jumatatu
hamuna middle class. Tanzania ni nchi ya wanyonge ππ.Nauli za treni yetu ni cheaper kuliko za Kenya.
hamuna middle class. Tanzania ni nchi ya wanyonge ππ.