Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

'Sisi' ni ww na nani?
tuma hapa picha ya hio Tanzania Sgr Freight Locomotive nataka kuiona.
wacha vituko.
Kumbe we ni kilaza
Mpaka Sasa washachemka kwenye sgr Yao.
Mpaka Leo hii Bado wanatafuta mkopo wa kuifikisha Malaba wakati ya Tanzania Iko inaelkea ukingoni na tayari Afdb wanameshakubali kudhamini ujenzi wa awamu ya sita ya Burundi -Uvinza
 
Kumbe we ni kilaza

Mpaka Sasa washachemka kwenye sgr Yao.
Mpaka Leo hii Bado wanatafuta mkopo wa kuifikisha Malaba wakati ya Tanzania Iko inaelkea ukingoni na tayari Afdb wanameshakubali kudhamini ujenzi wa awamu ya sita ya Burundi -Uvinza
kilaza ww. mpaka sasa bado sikuelewi rada yako gani humu lakini bado umo umo tu umeshupalia shingo
 
Tujikumbushe kidogo... katika moja ya ajali mbaya zaidi kuwahi kutokea kwenye taifa hili πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Huyu mtoto Otilie ana mambo ya kifala sana ile kipindi kaja bongo, analalamika kaibiwa laptop airport kumbe ni ushamba wake wa T3 bize na kupiga picha mpk akaacha laptop kwenye parking lot anakuja kuonyeshwa footage za CCTV namna alivyotelekeza laptop yake uso ulimshuka shuu. Matrako yake.
 
Halafu hana hata pesa huyo,hana lolote majigambo mengi akaunt ya pesa sifuri.
 
Mambo ya purchasing power ya currency hayo somo hili huwa gumu sana kwa wakenya.
Purchasing power in Tz ni kubwa kuliko Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…