ππππππYani umeleta vitu havifanani halafu useme unajitahidi kunielewesha!??Tunajitahidi kukuelewasha sio nje ya mada, maana una kichwa kigumu.
Aisee hii ni noma!?
Kwahiyo kisa engine imewekewa kikomo cha mwendo fulani basi reli ndio haina uwezo wa ku accomodate mwendo zaidi ya huo!??
Hii elimu sijui nani amekupa aiseeπππππππ.