ππππππYani umeleta vitu havifanani halafu useme unajitahidi kunielewesha!??Tunajitahidi kukuelewasha sio nje ya mada, maana una kichwa kigumu.
Nchini Malaysia CRRC walijenga meter gauge railway ya kisasa kabisa, tena ipo na umeme.Umeongea hueleweki unaongea nini.
Wachana na standard gauge umeenda nje ya mada turudi hapa kwenye MGR.
Uchakavu wa reli unaweza ukasababisha chombo kisiende mwendo unaohitajika.
Reli yetu ilikua chakavu mpaka ilipobadilishwa na kuruhusu mwendo unaohitajika.
Ni sawa na Diesel locomotives za Kenya zina uwezo wa zaidi ya speed ya 140kmph.
Ila standard gauge yao ni jointed railway,na jointed railway hairuhusu mwendo kasi wa kiasi hicho.
Kuhusu standard gauge nenda kasome specification zake inaruhusu mwendo mpaka wa kiasi gani.
Kama tungetaka kupata za mwendo wa zaidi ya 180kmph tungepata na zingefanya kazi kwasababu reli yetu inaruhusu zaidi ya speed ya 180 kwasababu ya specification zake.
Kwa akili zako unadhani hivyo vichwa viwili vinavutana kutoka Dar - Isaka!??ππππππ
Reli imejengwa kwa ufanisi wa kuruhusu mwendo wa kiasi gani!??Nchini Malaysia CRRC walijenga meter gauge railway ya kisasa kabisa, tena ipo na umeme.
Ulifanya test treni ikatembea speed ya 160km/h.
But speed yao maximum ni 120km/h tena hio ya abilia sio ya mizigo. Kuna kipindi walikuwa wanaenda kwa speed 140km/h wakaona ni risk sana π’.
Kwa sasa inaenda speed ya 100 mpk 110km/h hio ya abilia tena ya kisasa.
"Wewe kwa nini unafikili kwa nini hawaendi na hio speed ya 160km/h. Wakati inaruhusu na reli mpya???????"
View attachment 3083179View attachment 3083181View attachment 3083182
Mkuu mbona hyper!??Lete ushahidi duniani kokote kule meter gauge railway ya mizigo inaenda speed ya 120km/h. Tena na mabehewa 100.
Kokote kule duniani. Lete mkuu.
Mimi nimekuuliza swali juu unakwepaReli imejengwa kwa ufanisi wa kuruhusu mwendo wa kiasi gani!??
Sasa hapo ndio yale nilozungumzia kule.Nchini Malaysia CRRC walijenga meter gauge railway ya kisasa kabisa, tena ipo na umeme.
Ulifanya test treni ikatembea speed ya 160km/h.
But speed yao maximum ni 120km/h tena hio ya abilia sio ya mizigo. Kuna kipindi walikuwa wanaenda kwa speed 140km/h wakaona ni risk sana π’.
Kwa sasa inaenda speed ya 100 mpk 110km/h hio ya abilia tena ya kisasa.
"Wewe kwa nini unafikili kwa nini hawaendi na hio speed ya 160km/h. Wakati inaruhusu na reli mpya???????"
View attachment 3083179View attachment 3083181View attachment 3083182
Mkuu nimesema leta ushahidi sio hapa TZ , sehemu nyingine duniani kuwa MGR inaenda speed ya 120km/h tena ya mizigo sio hapa TZ.Mkuu mbona hyper!??
Chombo ndio kina huo uwezo ila reli ndio hairuhusu.
Kama hiyo engine ingewekwa kwenye broad gauge basi ingetembea hiyo speed.Ila reli hairuhusu hiko chombo kutembea huo mwendo.
Sijakwepa swali ila jibu lako lipo ndani ya hilo swali.Mimi nimekuuliza swali juu unakwepa
MGR reli ama chombo!??Mkuu nimesema leta ushahidi sio hapa TZ , sehemu nyingine duniani kuwa MGR inaenda speed ya 120km/h tena ya mizigo sio hapa TZ.
Bro hii video ya muda sana mwezi mmoja uliopita duuh!??Yani sisi wabongo tunapenda usanii sana.
Ndo yale yale kina masanja kadogosa kutuambia SGR train zina battery umeme ukizima treni linaenda kwa kwa umbali flani.
Akaja kuumbuka.
View attachment 3083200
View attachment 3083202
Mwishoni wakatundanganya tena ngedere na bundi walisababisha
View attachment 3083204
Mpaka watu waliamini kuwa treni lina π battery
Wewe unavyoonekana hujui kwa nini kuna gauge tofauti kwenye njia za reli, unaonekana huna maarifa haya mkuu.MGR reli ama chombo!??
Kuwa specific.
Najua na nafahamu kwanini kuna gauge tofauti ila kuna jambo inaonekana mgumu kulielewa bro.Wewe unavyoonekana hujui kwa nini kuna gauge tofauti kwenye njia za reli, unaonekana huna maarifa haya mkuu.
Na kwanini nchi nyingi wanatoka kwa meter gauge kwenda kwenye standard gauge na broad gauge .
India wao ndo kabisa wanatumia sana broad gauge ni kama USA.
USA sio wa kuwaamini.USA wamejitosa Kwenye central corridor
US taps Tanzania for infrastructure plan in battle with China for minerals
Washington wants to tap into the country's minerals, particularly its nickel mines.www.thecitizen.co.tz
Mimi nadhan hujamwelewa , anachomaanisha ni kuwa engine za trc zinauwezo wa kutembea spidi ya mpaka 140km/hr ila kutokana reli ya mgr kutokuwa na uwezo wa kuhimili hiyo speed haziwezi kutembea kwa hiyo speed maana reli inahimili speed ya 70km/hr ila ukikichukua kichwa kama hicho ukakipeleka kwenye reli inayohimili speed hiyo kitatembea tuWewe unavyoonekana hujui kwa nini kuna gauge tofauti kwenye njia za reli, unaonekana huna maarifa haya mkuu.
Na kwanini nchi nyingi wanatoka kwa meter gauge kwenda kwenye standard gauge na broad gauge .
India wao ndo kabisa wanatumia sana broad gauge ni kama USA.
Kaka ahsante kwa kumuelewesha.Mimi nadhan hujamwelewa , anachomaanisha ni kuwa engine za trc zinauwezo wa kutembea spidi ya mpaka 140km/hr ila kutokana reli ya mgr kutokuwa na uwezo wa kuhimili hiyo speed haziwezi kutembea kwa hiyo speed maana reli inahimili speed ya 70km/hr ila ukikichukua kichwa kama hicho ukakipeleka kwenye reli inayohimili speed hiyo kitatembea tu
Hutaki sasa!?π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
unaniangusha sana aisee....!