Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Aisee... πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… vilio vimeanza kusikika kila pande πŸ‘‡
 
Upo nje ya wakati hayo mabehewa yameletrwa majuzi tu sgr yao siyo kari reli aijachomew yote ni nginja nginja train ...hayo mebehewa yasikuchanganye akili
stop being salty.
kubali tu kwamba umepigwa na kitu kizito, then we move forward.
 
stop being salty.
kubali tu kwamba umepigwa na kitu kizito, then we move forward.
Hilo.ni behewa la treni muda wowote unaweza kununua utakavyo ..hayo mabehewa ya vip kenya yamekuja majuzi tu na bei yake ni sawa na kupanda ndege sisi hatujaleta daraja ja juu ya mabehewa tunayo economic na business class tu siyo VIP.tatizo reli yenu aikuchomewa yote ..kelele za nginja nginja ni kubwa haswa
 
vipi ile mitumba yenu ya double-decker kutoka Ujerumani itawasili lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…