Sema itafanya kazi lini tayari ipo nchini..tz tuna aina zote za train bado vip tuvipi ile mitumba yenu ya double-decker kutoka Ujerumani itawasili lini?
sasa ziko nchini na hazifanyi kazi si bora muziregeshe tu maana zitakua zina hitilafu.Sema itafanya kazi lini tayari ipo nchini..tz tuna aina zote za train bado vip tu
Rekebisheni reli yenu japo kwa kuchomea mataluma ...sisi hapa tz kipindi cha mzalendo JPM tulichomea mataluma hadi ya reli ya MGR kwa sasa nayo yote imechomewa kupunguza nginja nginjasasa ziko nchini na hazifanyi kazi si bora muziregeshe tu maana zitakua zina hitilafu.
imagine sasa zinaliwa na mchwa na huku zinapigwa na kutu... hasara juu ya hasara
we boya kweli. hivi unapata wapi ujasiri wa kulingasha Chinese Class 1 Standard Railway na AREMA.Rekebisheni reli yenu japo kwa kuchomea mataluma ...sisi hapa tz kipindi cha mzalendo JPMtulichomea mataluma hadi ya reli ya MGR kwa sasa nayo yote imechomewa kupunguza nginja nginja
Sincerely, tuoneshe treni yenu yoyote mpya mlio nunua? Zenu sio tu ni mitumba but also ni mikangafu! π π Zile zinapigwa machakoni (Ukarabati) ya nguvu sana kabla ya kuwasili. Ziko pieces 30, zinashuka mida sio mirefu.vipi ile mitumba yenu ya double-decker kutoka Ujerumani itawasili lini?
Nado nyingi hazijaja, zilishuka behewa nne or 6 tu, ule ni mzigo wa 30 na locomotives zake.Sema itafanya kazi lini tayari ipo nchini..tz tuna aina zote za train bado vip tu
tumia akili sometimes....Rekebisheni reli yenu japo kwa kuchomea mataluma ...sisi hapa tz kipindi cha mzalendo JPMtulichomea mataluma hadi ya reli ya MGR kwa sasa nayo yote imechomewa kupunguza nginja nginja
cheki hapa π ππSincerely, tuoneshe treni yenu yoyote mpya mlio nunua? Zenu sio tu ni mitumba but also ni mikangafu! π π Zile zinapigwa machakoni (Ukarabati) ya nguvu sana kabla ya kuwasili. Ziko pieces 30, zinashuka mida sio mirefu.
Kwanza wakunya ammiliki hata mita moja ya SGR hiyo mnayo tumia ni mali halali ya mchina hivyo watz tumemshina mchina kwenye hiyo sgr tanzania vs china sgr in kenya ...tz winwe boya kweli. hivi unapata wapi ujasiri wa kulingasha Chinese Class 1 Standard Railway na AREMA.
tumia akili basi
πππ wacha nicheke tu maana siamini kama huyu ni yule Lwiva nilikua namjua miaka mitano iliopita.K
Wanza wakunya ammiliki hata mita moja ya SGR hiyo mnayo tumia ni mali halali ya mchina hivyo watz tumemshina mchina kwenye hiyo sgr tanzania vs china sgr in kenya ...tz win
Pole sana huo ni ukweli nikama ile njia ya juu ya kulipia hapo nairobi ni mali ya wenyewe siyo ya wakenya ...sisi SGR yetu ni mali halali ya watz tunaitumia tutakavyo...ndiyo maana hamna amri ya kusema reli yenu ichomewe mataruma yake kuondoa nginja nginja ni hadi mchina apende mwenyewe ...bei ya treni ni mchina ana hamua yeye ...hivyo ni tanzania sgr vs china sgr in kenyaπππ wacha nicheke tu maana siamini kama huyu ni yule Lwiva nilikua namjua miaka mitano iliopita.
πππ so funny... boya kama coodip1.Pole sana huo ni ukweli nikama ile njia ya juu ya kulipia hapo nairobi ni mali ya wenyewe siyo ya wakenya ...sisi SGR yetu ni mali halali ya watz tunaitumia tutakavyo...ndiyo maana hamna amri ya kusema reli yenu ichomewe mataruma yake kuondoa nginja nginja ni hadi mchina apende mwenyewe ...bei ya treni ni mchina ana hamua yeye ...hivyo ni tanzania sgr vs china sgr in kenya
Siku hizi naona yule kamanda mwenzako BoniYai kaacha kuchapisha vile vijiposti vyake vya uongo ulivyokuwa unavipenda sanaπππ
Hawa Waganda kama hamnazo. Wanakonect na Kenya, yet wanaonesha reli yetu. Sasa yao itakuwa ya umeme, mkaa ama mafuta kama Kenya?