Dining hall ni majilisi pumbavu wewe mnaharibu kiswahili
nitawafunza hadi Kiswahili.Dining hall ni majilisi pumbavu wewe mnaharibu kiswahili
wewe ndio uko bize kurekebisha watu lugha humu ndani? πππAki wakenya mmelogwa na vitu cosmetic
Kumbe nginjanginja Halina HAVC System! ππππ! Naona madirisha ya kufungua!Na joto lote hilo humo ndani π€£π€£π€£π€£π€£
Aki wakenya mmelogwa na vitu cosmetic sana ali mradi vitu vyenu vifanane na level za juu wakati mazingira na uwezo hamna. Imagine that sitting arrangement without AC on a bumpy rail halafu mnalinganisha na seating arrangement ya Airbus π€£π€£π€£π€£
Aawapii HAVC System inaonekana!kwaivo dirisha likiwa linafunguka, ina maana hakuna A.C ??? yaani hawa jamaa ni washamba sana πππ
View attachment 3149281
hamuna ustaarabu. A.C kama iko on, inafaa madirisha yawe yamefungwa. sasa nyinyi bado mko nyuma sana, unakuta mtu anatafuna miwa ndani ya treni na analazimisha kutema nje.Aawapii HAVC System inaonekana!
Kuna watu wachafu kama Wakunya?hamuna ustaarabu. A.C kama iko on, inafaa madirisha yawe yamefungwa. sasa nyinyi bado mko nyuma sana, unakuta mtu anatafuna miwa ndani ya treni na analazimisha kutema nje.
sasa hebu niambie kwanini Trc wasibane madirisha na super glue?
ndio maana mkabaniwa kuingia na chakula humo ndani sababu ya vurugu! πππ