Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kumbe nginjanginja Halina HAVC System! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Naona madirisha ya kufungua!
 
kwaivo dirisha likiwa linafunguka, ina maana hakuna A.C ??? yaani hawa jamaa ni washamba sana 😁😁😁
 
Aawapii HAVC System inaonekana!
hamuna ustaarabu. A.C kama iko on, inafaa madirisha yawe yamefungwa. sasa nyinyi bado mko nyuma sana, unakuta mtu anatafuna miwa ndani ya treni na analazimisha kutema nje.
sasa hebu niambie kwanini Trc wasibane madirisha na super glue?
ndio maana mkabaniwa kuingia na chakula humo ndani sababu ingekua vurugu! 😁😁😁
 
Kuna watu wachafu kama Wakunya?

View: https://youtu.be/CqcdMu_7tdo?si=XLCYENG_HsTisXiM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…