pole kaka kwa yaliyokukuta. i hope very soon watarekebisha ππmchongoko uko vizuriii mazee....nimepiga haja zote mlee na nimejihisi vizuri sana kama mtanzania mlipa ushuruu....ila tuekewe maji ya kutawaza mleee, sio unatoka kwa mchongoko ukinuka mafwiii ...hasa apo maeneo ya puguuu
Hehehehe aisee wakenya Kwa kujifarijii.mbaya zaidi,, mfereji umekata...!
walidhania kujenga reli ni rahisi kama kutafuna visheti πππ
View: https://x.com/TonamiPlayman/status/1856428175397663010
cheki hapa ππHehehehe aisee wakenya Kwa kujifarijii.
Tanzania tujifunze nini toka reli ya Kenya!?
Hiyo reli jointed welded ambayo inatumia engine za dizeli!??
Kuwa fence fupi ndio kitu kusema Kenya mmetuzidi!??
Unaugua wewe.
kisha uache ushamba!Hehehehe aisee wakenya Kwa kujifarijii.
Tanzania tujifunze nini toka reli ya Kenya!?
Hiyo reli jointed welded ambayo inatumia engine za dizeli!??
Kuwa fence fupi ndio kitu kusema Kenya mmetuzidi!??
Unaugua wewe.
Unazungumzia habari za USA na Australia!?kisha uache ushamba!
America kote huko wanatumia 'dizeli' mpaka Australia, nyinyi mumewazidi nini eti kwa mfano?
Pole weee.
kwamba mumewaacha USA na Australia mbali kwa miundo mbinu ya kisasa sio???Unazungumzia habari za USA na Australia!?
Hujui kama dunia inaenda kasi na hao uliowataja wanaachwa mbali!?
Unapozungumzia miundombinu ya kisasa ya reli duniani huwezi ukamuweka USA wala Australia.
Top 3 utataja China,Japan na Germany.
Uache kukariri maisha mbung'o wewe.
Endelea kujifarijii.
swali ni 'walikuja au hawakuja???'Pole wewe.
Tanzania imekuja kutizama utendaji na uendeshaji and not other wise kwenye hiyo outdated rail system.
Ona huyu nini anaongea!!kwamba mumewaacha USA na Australia mbali kwa miundo mbinu ya kisasa sio???
Aiseee π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Nadhani umeelewa nini nimekusudia ila unakaza fuvu na reli yako outdated.swali ni 'walikuja au hawakuja???'
tena kwenye reli inayotumia 'dizeli' at the expense of the taxpayers money.
wacha kujizima data πππOna huyu nini anaongea!!
Mie nazungumzia miundombinu ya reli.
Nijizime data kivipi!?wacha kujizima data πππ
kama mumepigwa kubali kua mumepigwa. sio kila siku vijisababu mara ngedere mara bundi.... imekua too much now!Nadhani umeelewa nini nimekusudia ila unakaza fuvu na reli yako outdated.
ππKusifiana ujinga tu ndio maana bado tunagaika na matundu ya vyoo ila ukisikia hizo sifa utafikiri labda Tanzania inaikaribia Afrika kusini kwa maendeleo.
Tumepigwa na nani!?kama mumepigwa kubali kua mumepigwa. sio kila siku vijisababu mara ngedere mara bundi.... imekua too much now!