Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hivi mimi mswahili nisijue maana ya masika!?
Tanzania ina misimu miwili ya masika,mwanzo mwa mwaka na mwisho mwa mwaka.
Wacha kujipatia entitlement yenye hakuna. Kwamba wewe ni Mtanzania so automatically unakuwa Mswahili?
Kama hujui kitu, kubali ili ufunzwe, upate kuelewa. La sivyo utazidi kuumbuka hapa kila siku kisha unaingia mitini (unatoroka).

wacha tu nikufungue macho kidogo,,
kuna misimu minne kila mwaka na msimu wa masika ni moja kati yao.
 
Wacha kujipatia entitlement yenye hakuna. Kwamba wewe ni Mtanzania so automatically unakuwa Mswahili?
Kama hujui kitu, kubali ili ufunzwe, upate kuelewa. La sivyo utazidi kuumbuka hapa kila siku kisha unaingia mitini (unatoroka).

wacha tu nikufungue macho kidogo,,
kuna misimu minne kila mwaka na msimu wa masika ni moja kati yao.
Pole yako kijana,umeshindwa kuelewa kuwa hiyo misimu minne huwa haibaki katika msururu mmoja,Kuna muda hubadilika na mingine hujirudia.
Endelea kukaza fuvu.
 
Pole yako kijana,umeshindwa kuelewa kuwa hiyo misimu minne huwa haibaki katika msururu mmoja,Kuna muda hubadilika na mingine hujirudia.
Endelea kukaza fuvu.
🤣🤣🤣
mwenzako alijaribu kukutahadharisha, hukutaka kumsikia. ona sasa ulivyoangukia pua.
Amusing-Dog-Laughing-Meme.jpg
 
Umekosea hoja unabwabwaja!?
Endelea kubwabwaja kijana.
I
katika mwaka, kuna msimu wa mvua nyingi na msimu wa mvua chache/ fupi.
sio vile unavyojaribu kulazimisha .
ukiacha kujadili kwa mihemko, utakua mwanafunzi bora sana 😁😁
 
Back
Top Bottom