Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Nikionyesha Wakunya walikuwa wa kwanza kufanya Benchmarking SGR TZ utajibu nn?
😁😁😁
GRkcQ60bQAASbeD.jpeg
 
Waambie waboreshe na maslahi ya wafanyakazi wao.. sio wafanyakaz wanaishi kama vibarua wa viwandani wakati nje wanajionyesha wanapata faida na kuwatunuku hadi wasanii pesa za kijinga jinga
fafanua mkuu 😁😁😁
 
fafanua mkuu 😁😁😁
Mambo ni mengi kwenye hilo shirika mkuu.. wafanyakazi wao tuko nao mtaani uku kila siku wanalalamika tu kuhusu hilo shirika kuanzia mishahara ilivyo midogo mpaka malipo ya mengine ya maslahi ya wafanyakaz..
Sasa njoo kwa wastaafu ndio kabisa huwa hawachukui time baada kustaafu.. Yan shirika halina hata kiinua mgongo cha wafanyakazi wanapostaafu..

Sasa huwa nashangaa linavyojifunua kwamba lina mapato wakati wafanyakazi wao wanapigika uku mtaan kama wanafanya kazi kibaruani
 
Sasa njoo kwa wastaafu ndio kabisa huwa hawachukui time baada kustaafu.. Yan shirika halina hata kiinua mgongo cha wafanyakazi wanapostaafu..
ila nimekwazika sana na hii aya...
so sad to be honest.
 
Mambo ni mengi kwenye hilo shirika mkuu.. wafanyakazi wao tuko nao mtaani uku kila siku wanalalamika tu kuhusu hilo shirika kuanzia mishahara ilivyo midogo mpaka malipo ya mengine ya maslahi ya wafanyakaz..
Sasa njoo kwa wastaafu ndio kabisa huwa hawachukui time baada kustaafu.. Yan shirika halina hata kiinua mgongo cha wafanyakazi wanapostaafu..

Sasa huwa nashangaa linavyojifunua kwamba lina mapato wakati wafanyakazi wao wanapigika uku mtaan kama wanafanya kazi kibaruani
Hujakosea kabisa ni kweli reli ya sasa wafanyakazi wake wana hali ngumu sana.
Na hili alilisababisha Mkapa tangu abinafsishe hili shirika.
Kipindi cha Magufuli hali ilianza kurudi sawa ila sasa hivi kunatibuka tena.
Nina ndugu wanaohudumu reli na mzee wangu amestaafia hapo relini miaka kama miwili au mitatu iliyopita.
Ila inasemekana wasimamizi mathalan mameneja,wakurugenzi ndio wanawabana sana wafanyakazi na kuwanyonya sana.
 
Back
Top Bottom