Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

🤭
IMG_20241122_184853.jpg
 
tumia akili basi kidogo. pesa ya uma inatafunwa kwa mambo yasiokua na msingi. au ulidhani wanatoa pesa mfukoni mwao?
Wewe ndio una akili kupewa ndege na basha zenu uarabuni na kulipiwa gharama zote za private jet.
Sisi ni taifa tunalojiweza serikali kukodisha ndege ATCL kuna shida gani? Na pia kila trip ya serikali ina budget yake toka ikulu na yote hiyo ni hela ya umma wewe ulitaka aende kwa meeting ya G20 kwa gharama ya nani? Waarabu ama?
 
Back
Top Bottom