Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
😁😁😁 kumbe unajijua!Halafu siponi😁
asante kwa kukubali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 kumbe unajijua!Halafu siponi😁
🤣🤣🤭Ipi inabeba mzigo mkubwa per trip, ipi inagharama nafuu per trip na kiundeshaji kwa ujumla, reli ipi inaendeshwa na shirika la reli la nchi?
tumia akili basi kidogo. pesa ya uma inatafunwa kwa mambo yasiokua na msingi. au ulidhani wanatoa pesa mfukoni mwao?Serikali imeilipia shida yako ni nini?
Naona umeanza kushabikia reli ya waganda sasa, ha ha ha😁😁😁😁 kumbe unajijua!
asante kwa kukubali.
View: https://x.com/XHSwahili/status/1859944933412770080
View: https://x.com/XHSwahili/status/1859929834136478192
MY TAKE
Mapato yameongezeka 36% ila hatuambiwi kiasi!
munasikitisha sana... mwataka kupata full info on a mere 'tweet'??? 😳😳Halafu hapo wanapiga miguu yote, abiria na mizigo!
kuna mtu yuko obsessed na reli ya Kenya-Uganda. toka juzi anabandika posts ishirini kila siku... angalia vizuri 😂😂Naona umeanza kushabikia reli ya waganda sasa, ha ha ha😁
are you sure about this?? 😁😁Nchi haina hela.
hali sio kabisa ndugu.... nchi inaelekea pabaya!Ndiyo imesimama.miradi mingi tu imesimama Mfano meli ya mv mwanza imesimama,daraja la kigogo busisi limesimaa,sgr kipande Cha singida tabora kimesimama,Bomba la mafuta hoima(Uganda) Hadi Tanga limesimama n.k.the country is bankrupt under madam president.
Wewe ndio una akili kupewa ndege na basha zenu uarabuni na kulipiwa gharama zote za private jet.tumia akili basi kidogo. pesa ya uma inatafunwa kwa mambo yasiokua na msingi. au ulidhani wanatoa pesa mfukoni mwao?
Wakati mwingine fanya kuandika Kiswahili cha kikenya basi, angalau ujifiche kidogo kamanda😁kuna mtu yuko obsessed na reli ya Kenya-Uganda. toka juzi anabandika posts ishirini kila siku... angalia vizuri 😂😂