Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata aibu huoni mkuu!?Asalaale!!!
View attachment 3195036
kubali matokeo...Hata aibu huoni mkuu!?
Hiko ni kichwa cha majaribio cha mkandarasi Yepi Merkezi.
Na hicho sio kichwa cha Tanzania Railways.
Duh, kumbe majirani zetu wa Kaskazini hamnazo kweli. Wajivuaje nguo hadharani hivyo?Asalaale!!!
View attachment 3195036
Reli ya Danganyika tayari imeingia dosari,, hii itathibitishwa miezi michache ijayo wakati wa mvua ya masika.Duh, kumbe majirani zetu wa Kaskazini hamnazo kweli. Wajivuaje nguo hadharani hivyo?
Duh, bado unakomaa! Wafichie aibu wakenya wenzako walau!Reli ya Danganyika tayari imeingia dosari,, hii itathibitishwa miezi michache ijayo wakati wa mvua ya masika.
Reli iko cheap sana, kwanini mkweche usidondoke?
Kumbe wewe ni wale wale wa maneno ya kwenye khanga? ðŸ¤Duh, bado unakomaa! Wafichie aibu wakenya wenzako walau!
Kidogo muambiwe shukeni msukume😀😀
aisee..🤣Na mtalala hapo.nunua dawa ya mbu ya kupaka
ni suala la mda... 🙃Kama ni tatizo la kiufundi sawa.
Hope kwenye SGR yasije kutokea ya Mwendokasi.
Nimekusoma ndugu, endelea kukomaa.Kumbe wewe ni wale wale wa maneno ya kwenye khanga? ðŸ¤
Unasikitisha sana.
ni vyema ukiachana na mipasho.Nimekusoma ndugu, endelea kukomaa.