Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Mbona Museveni hataji Tz SGR kwa hotuba yake ndani ya hii video, anaongelea tu kuhusu Kenya na Malaba πŸ˜›



Malaba hio isahau yeye anataka port bell ndio itumike na mizigo itokee mwanza na kisumu hapo ndipo tutawanyoosha vzrπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Malaba hio isahau yeye anataka port bell ndio itumike na mizigo itokee mwanza na kisumu hapo ndipo tutawanyoosha vzrπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umehamia huku, Kule kwingine vyuma vimekaza. πŸ˜€
 
Nipo kokote na nitawanyoosha kokote pale πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Wakenya wamekufanya kujua kuwa kuna nyuzi zingine Bali na ile ya your fishing village. Nyang'au ni wabaya sana wanafanya Watu wawe dynamic. Karibu lakini.
 
Wakenya wamekufanya kujua kuwa kuna nyuzi zingine Bali na ile ya your fishing village. Nyang'au ni wabaya sana wanafanya Watu wawe dynamic. Karibu lakini.
Kujua kuna nyuzi zingine najua na hua nahudhuria vile nitakavyo mumeamua kukimbia mziki wa darπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kujua kuna nyuzi zingine najua na hua nahudhuria vile nitakavyo mumeamua kukimbia mziki wa darπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatutambui kijiji cha kuvulia samaki. Kule umeshikwa na upweke ikakubidi utafute nyuzi zingine...hehehe you very predictable for a man...bure kabisa.
 
Wakenya wamekufanya kujua kuwa kuna nyuzi zingine Bali na ile ya your fishing village. Nyang'au ni wabaya sana wanafanya Watu wawe dynamic. Karibu lakini.
Kwani mada hii ililetwa na mkenya hum?
Kule hatutaki Vilaza
Kwanza pametulia saafi
 
Hatutambui kijiji cha kuvulia samaki. Kule umeshikwa na upweke ikakubidi utafute nyuzi zingine...hehehe you very predictable for a man...bure kabisa.
Mumekimbia mziki mkubwa wengi wenu mulijuani ile dar ya 90sπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
A difference of 40km ndio unaita high speed, pia nyinyi ni slow electric non functional train,the only thing worth noting about your sgr is the price
from Dodoma the PAX train will go above 160km/h!
 
43101800_2129330650432973_2084666740523925504_o.jpg




Kenya SGR attendants serving on China's High speed train in-order to learn best practices

37425855_2007144785984894_8644521805266026496_n.jpg

6 Chinese and 4 Kenyans.......what!??

Why do Chinese have to take non technical jobs?
 
6 Chinese and 4 Kenyans.......what!??

Why do Chinese have to take non technical jobs?
I Think that is in China, May be they are training. I see the train Car no 8 is for WUHAN STATION TO BEIJING WEST STATION
 
Back
Top Bottom