Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Exactly as if it was going at an average speed of 120km/h then it would have taken 3 hrs for Mombasa-Nairobi journey.
Jealousy itakumaliza wewe jizee,
Siku ya testing maximum speed ilifika 157km/hr....Sijui mbona huwa mko na wivu za wamama nyinyi
 
Point of correction it is "maximum speed"! when u say average speed u mean that mtambo wa chang'aa can go above 120km/h. The truth is it goes at 110km/h as Maximum speed!

See the truth here was already discussed before with facts provided.
I can show you evidence of ME going at beyond 130km/hr... but b4 I even do that... could you just pretend to be in class/grade 4 and do a simple calculation of 609km of track length decide by 5 hours and tell me the answer
 
Wewe unafkiri tumeekeza 350m usd kupanua bandari ya dar es salaam unafkiri tunafanya maigizo hehhehe endelea kuota hvo hvo😂😂😂
Bandari ya Mombasa inafanywa upanuzi wa $1B mbali na Dry port ya Nairobi na nyengine zitakazojengwa Voi,Naivasha,Kisumu... kwa kifupi you’ll never catch up with Mombasa’s level of efficiency!
 
9271B685-A5CE-4C0E-A370-C096C4DD0FE3.jpeg
95AB1C10-CE54-4EE9-BE7B-A8D6A4B2E961.jpeg
 
let assume that the sgr line in kenya is very busy that you need another line, will you again start constructing those unnecessary expensive bridges for the second line?
 
let assume that the sgr line in kenya is very busy that you need another line, will you again start constructing those unnecessary expensive bridges for the second line?
SGR ya Kenya ni akili ya punda! Yetu phase I na phase II zina 95 n 80 km parallel lines!
 
Bandari ya Mombasa inafanywa upanuzi wa $1B mbali na Dry port ya Nairobi na nyengine zitakazojengwa Voi,Naivasha,Kisumu... kwa kifupi you’ll never catch up with Mombasa’s level of efficiency!
Inafanyiwa upanuzi wapi??? 😂😂😂 mombasa nimetoka jana tu wapi wanafanya upanuzi ???
 
let assume that the sgr line in kenya is very busy that you need another line, will you again start constructing those unnecessary expensive bridges for the second line?
Hii picha ya Uchina inakuonyesha hayo hufanywa , mahali SGR Kenya inapitia kuna 100m reserve kwahivyo nafasi ya kuongea another design iko

A47F1B16-C1E5-4F8B-AB6A-8EEF8C93859D.jpeg




Anyway, Lamu port inajengwa Kwa sasa, ikikamilika tutakua na bandari ambayo inatarajiwa kupunguza mizigo ya Mombasa .... Kwahivyo reli ya Kutoka Lamu itajengwa mwanzo kabla tufikirie kujenga reli ya pili kutoka Mombasa .....
 
Inafanyiwa upanuzi wapi??? 😂😂😂 mombasa nimetoka jana tu wapi wanafanya upanuzi ???
Hua inafanya niskie karaha mkiamua kufikiria maendeleo yanafanyika Tz pekee na Kenya imelala....

Berth no 21 ilikamilika na kuanza kufanya kazi 2017... Iko na capacity ya 500,000 TEU ambayo ni karibia Sawa na mizigo yote ya bandari ya Dar!!

Ujenzi wa berth number 22 unaanza 2019 capacity yake itakua 450k TEUs
Berth 21 Nov 2016
906-3e474bd63f9d.jpg
 
Hua inafanya niskie karaha mkiamua kufikiria maendeleo yanafanyika Tz pekee na Kenya imelala....

Berth no 21 ilikamilika na kuanza kufanya kazi 2017... Iko na capacity ya 500,000 TEU ambayo ni karibia Sawa na mizigo yote ya bandari ya Dar!!

Ujenzi wa berth number 22 unaanza 2019 capacity yake itakua 450k TEUs
Berth 21 Nov 2016
View attachment 978791
Unajipa sana matumaini usifkiri hii ni ile tz ya 90s sahau hio kwa taarifa yako mtwara tushapanua kwa ajili ya kuserve mozambique na part of zambia and malawi

Dar kwa ajili ya tanzania bara pamoja na rwanda congo burundi and part of zambia and malawi bila kusahau zimbabwe and comoro

Tanga ita deal na uganda pamoja na kenya through namanga arusha👏👏👏

Kumbe munaongeza bearth mbili sisi tunapanua bearth zote na tumetengeza ro-ro terminal kwa ajili ya magari tu
8651ECAF-12D4-4180-ADAC-E52FEF29F32F.jpeg
9C207E5B-965E-483E-BF30-54CAE246116D.jpeg
E17F0D76-85C2-4A8D-A74F-A78407A0A3B1.jpeg
 
Hii picha ya Uchina inakuonyesha hayo hufanywa , mahali SGR Kenya inapitia kuna 100m reserve kwahivyo nafasi ya kuongea another design iko

View attachment 978751



Anyway, Lamu port inajengwa Kwa sasa, ikikamilika tutakua na bandari ambayo inatarajiwa kupunguza mizigo ya Mombasa .... Kwahivyo reli ya Kutoka Lamu itajengwa mwanzo kabla tufikirie kujenga reli ya pili kutoka Mombasa .....
Tuoneshe ni wapi china kaacha reserve kama hio??? Hahaha 😂😂😂😂 ni lazma muingie gharama kutengeneza new expensive bridges usisahau hio
 
Hua inafanya niskie karaha mkiamua kufikiria maendeleo yanafanyika Tz pekee na Kenya imelala....

Berth no 21 ilikamilika na kuanza kufanya kazi 2017... Iko na capacity ya 500,000 TEU ambayo ni karibia Sawa na mizigo yote ya bandari ya Dar!!

Ujenzi wa berth number 22 unaanza 2019 capacity yake itakua 450k TEUs
Berth 21 Nov 2016
View attachment 978791
Dar port has clocked 20mln tonnes at the moment only a stupid can compare the port to 500,000 TEU capacity!
 
😂😂😂 huyo jamaa bado anawaza tz ya 90s
No Ni ugonjwa wa ku-belittle gains of a competitor in a belief all is well with their white elephant project in Kenya! A self denial per se! BTW I have realised their media is pretty mute having seen the real threat! Before they had the same mentality!
 
Unajipa sana matumaini usifkiri hii ni ile tz ya 90s sahau hio kwa taarifa yako mtwara tushapanua kwa ajili ya kuserve mozambique na part of zambia and malawi

Dar kwa ajili ya tanzania bara pamoja na rwanda congo burundi and part of zambia and malawi bila kusahau zimbabwe and comoro

Tanga ita deal na uganda pamoja na kenya through namanga arusha👏👏👏

Kumbe munaongeza bearth mbili sisi tunapanua bearth zote na tumetengeza ro-ro terminal kwa ajili ya magari tuView attachment 978813View attachment 978814View attachment 978815
Waikati Upanuzi wa bandari yenu kubwa ya Dar inapanga kua na capacity ya 28 million by 2025, Bandari ya Mombasa ilifikisha 30.1 million in 2017..... hizi ndo nambari tuna deal nazo, Nyinyi hata WB ilishawaambia mkifanya bandari yenu I we Kama ya Mombasa mtaongeza $1B kwa uchumi wenu kila mwaka





Hebu nyote muangalie hii video mjiionee vile Hilo eneo la bandari ya Mombasa vile linageuka na maendeleo tofauti tofauti
 
Waikati Upanuzi wa bandari yenu kubwa ya Dar inapanga kua na capacity ya 28 million by 2025, Bandari ya Mombasa ilifikisha 30.1 million in 2017..... hizi ndo nambari tuna deal nazo, Nyinyi hata WB ilishawaambia mkifanya bandari yenu I we Kama ya Mombasa mtaongeza $1B kwa uchumi wenu kila mwaka





Hebu nyote muangalie hii video mjiionee vile Hilo eneo la bandari ya Mombasa vile linageuka na maendeleo tofauti tofauti

This year cargo volume has crossed a 30 mln tons mark!
 
Back
Top Bottom