Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Then you shouldn't have jumped to using stats that don't exist...
For you to increase your performance from 650K to 1m TEUs that would be a 53% increase in container handling in one year! That would be the highest rate of increase for any major port in the world!
Mind you there was a decrease in exports from mineral companies this year because of your policy changes... So what could possibly lead to such a huge increase ???? Or are you just day dreaming
Umemshika pabaya imebidi akunje mkia. Hawa watu BALAAA! Yaani kuelewa vitu za msingi imewashinda, wao ni kutupa tu maneno bila ya kuthibitisha usawa/ukweli wake.

650k TEUS ni idadi ambayo MOMBASA port ili-handle miaka karibu kumi iliyopita [emoji23][emoji88]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemshika pabaya imebidi akunje mkia. Hawa watu BALAAA! Yaani kuelewa vitu za msingi imewashinda, wao ni kutupa tu maneno bila ya kuthibitisha usawa/ukweli wake.

650k TEUS ni idadi ambayo MOMBASA port ili-handle miaka karibu kumi iliyopita [emoji23][emoji88]

Sent using Jamii Forums mobile app
Evidence?
 
Evidence?
Mombasa handles 1.2m TEUs and 31m tones
Screenshot_20181228-135725.jpeg
Screenshot_20181228-135730.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nilichogundua Tanzania ni nchi ambayo tunafanya mambo yetu Kwa ukubwa na ubora zaidi ya Jirani zetu, yaani we take Advantage of their weaknesses, mfano Barabara ya njia nane wao njia sita, SGR Station kubwa na bora kabisa than yao, BRT ya kisasa zaidi wenzetu hawana hiyo, yaani kiufupi KUTANGULIA SI KUFIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nilichogundua Tanzania ni nchi ambayo tunafanya mambo yetu Kwa ukubwa na ubora zaidi ya Jirani zetu, yaani we take Advantage of their weaknesses, mfano Barabara ya njia nane wao njia sita, SGR Station kubwa na bora kabisa than yao, BRT ya kisasa zaidi wenzetu hawana hiyo, yaani kiufupi KUTANGULIA SI KUFIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuonyeshe iyo barabara na SGR stations pia sisi tuone?
 
Ila nilichogundua Tanzania ni nchi ambayo tunafanya mambo yetu Kwa ukubwa na ubora zaidi ya Jirani zetu, yaani we take Advantage of their weaknesses, mfano Barabara ya njia nane wao njia sita, SGR Station kubwa na bora kabisa than yao, BRT ya kisasa zaidi wenzetu hawana hiyo, yaani kiufupi KUTANGULIA SI KUFIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiongelee ukubwa wa stations, ongelea ubora wa reli, speed na ukisasa wa train, nishati itakayo tumika, cost yake, mgawanyo wa kujengwa kwake, upatikanaji wa pesa. Yani pointi zote tume wafunika. Sisi ni kaka zao lazima tuwaonyesha jinsi kazi zinavyo fanywa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante maana Mimi nimemwambia kiwepesi Sana ila wewe umefafanua zaid I hope ameelewa
Mkuu usiongelee ukubwa wa stations, ongelea ubora wa reli, speed na ukisasa wa train, nishati itakayo tumika, cost yake, mgawanyo wa kujengwa kwake, upatikanaji wa pesa. Yani pointi zote tume wafunika. Sisi ni kaka zao lazima tuwaonyesha jinsi kazi zinavyo fanywa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom