Papayo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 270
- 358
Wivu itakuua wewe!Chuma chakavu ndo hichoo!!
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu itakuua wewe!Chuma chakavu ndo hichoo!!
![]()
I think you meant to quote the other guyWivu itakuua wewe!
Haha sorry yeaI think you meant to quote the other guy
Chang'aa boiler ileeeee....
Awesome 👍
Ile gari Moshi yenu inaspeed ya baiskel inasikitisha sanaBullet trains.Mtaishia kuziona kwenye picha kama stesheni zenu. Speed ya bullet train ni 300km/hr and above.
cc: ichoboy01
Dar -Makutopora zaidi ya 700km hayo madaraja yatakua mengi sana usijali
Sent using Jamii Forums mobile app
Huhuhuyatakua
Nyie hata ya speed ya konokono hamna. Mnasikitisha sana.laggards inIle gari Moshi yenu inaspeed ya baiskel inasikitisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ile Tz itapata uhuru wa wanahabari, ndo watajua ufisadi ulivyokidhiri katika nchi yao….Hii data wao hutuletea hapa ni ile habari njema inayotolewa na media ndo kumsifia jiwe JPM....Zile habari mbovu za ufisadi, uhuru wa wanasiasa na wanahabari haziletwi…...hawa watu wako era za 90's bana…..Geuza ulale, huko kweni corruption inafanyika tu chini ya maji. Ni vile nyinyi ni waoga.
Carica papaya badili tu hiyo papayo yako mbofuSiku ile Tz itapata uhuru wa wanahabari, ndo watajua ufisadi ulivyokidhiri katika nchi yao….Hii data wao hutuletea hapa ni ile habari njema inayotolewa na media ndo kumsifia jiwe JPM....Zile habari mbovu za ufisadi, uhuru wa wanasiasa na wanahabari haziletwi…...hawa watu wako era za 90's bana…..