Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Mruruki Mungu anawaona walai...yani mabehewa+vichwa kando...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wao ni reli tu...mamaweee...hawa jamaa wamepigwa..
Usiwapatie pressure ya bure😛 kwasasa tuwangojee waagizie kila kitu kando kando alafu tutawajumlishia total cost of the project.
 
Duh!!kisha wanakuja kulinganisha reli yao na yetu..eti tao ni cheap...kumbe zile hela ni za kutandaza reli pekeake...

Hawajui kenya ile hela imeenda katika upanuzi wa bandari,kujengea dry port na chuo cha reli km sikosei
Usiwapatie pressure ya bure😛 kwasasa tuwangojee waagizie kila kitu kando kando alafu tutawajumlishia total cost of the project.
 
Kenyan railway is best in this region. Your railway can't and won't manage double stacked wagons because it's of low quality.
Una uhakika mkuu? Maana kwenye tender iliyotangazwa kuna 50 wagons za double stack containers.

Nadhani tofauti kubwa ya reli hizi ipo kwenye financing modality na aina ya treni zinazopita ie umeme/diesel. Hizo nyingine ni tofauti za kawaida tu.
 
Una uhakika mkuu? Maana kwenye tender iliyotangazwa kuna 50 wagons za double stack containers.

Nadhani tofauti kubwa ya reli hizi ipo kwenye financing modality na aina ya treni zinazopita ie umeme/diesel. Hizo nyingine ni tofauti za kawaida tu.
Majamaa wana upumbavu wa kuzaliwa pitia hii thread uone ubishi wao tangu mwanzo! Cha kufanya wapuuzie siku mzigo unashushwa unawawekea picha!
 
Leta hiyo tender hapa tuone.
Una uhakika mkuu? Maana kwenye tender iliyotangazwa kuna 50 wagons za double stack containers.

Nadhani tofauti kubwa ya reli hizi ipo kwenye financing modality na aina ya treni zinazopita ie umeme/diesel. Hizo nyingine ni tofauti za kawaida tu.
 
height barriers to prevent damage to the SGR bridge

48315081567_d330e5dccc_b.jpg

48315082052_cde02f1fe6_b.jpg
 
Back
Top Bottom