Miez mitano had sita kaka kuna kipande kuanzia Bakhressa pale had pugu hakuna kilichofanyika, kuja had Vingunguti haielewek kama ni gari zitapita chini ama n reli maana hakuna ujenzi wwte hata pale majumba sita ni hivohvo... Hata hili daraja letu maungio ya pale Bakhressa bado sana , maungio ya pale karume bado hata hawajaanza chochote naona had kumaliza ni had mwezi wa pili mwakani spend UNAFKI ktk hili maana naufatilia huu miradi tangia wanaweka mkataba had sasa na mm ni mkazi wa dar naona. N kiasi gani hiki kipande had pugu kinavyowaumiza kichwaMimi ninahisi kuna kitu serikalini, lakini sio malipo.
Kwa mvua upande ulioathirika ni pale Ruvu, hiyo sehemu nimeangalia video wamemaliza sasa wanajaza uongo.
Wakienda kwa speed ya June, kazi iliobaki ni ndogo sana, ndani ya miezi 3-4 watakuwa tayari