The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Unaelewa maana ya interchange? Sio lazima iwe mjini au kijijini, ni kwamba interchange inajengwa maala penye uhitaji wa interchange na co tu kijijini au mjini hilo kwanza likae kichwani, upuuzi wa viongozi wenu kujenga vitu kisiasa na kikabila ndio imewafikisha hapo mlipo kwamba taifa haliwezi hata kujenga km5 za road kwa pesa yake na ndiyo maana mpk leo mnaongoza kwa vifo kutokana na ufinyu wa chakula kwa wananchi because of selfishness ya wanasiasa wenu, hapo hapakustahili interchange but imejengwa kwa sababu ya kisiasa kwamba lazima kwetu kuwe na interchange na ndiyo maana mmefika hapo mlipo cz hiyo pesa ingeenda kusaidia wananchi na hapo kujengwa road ya kawaida.Mwanzo hiyo picha ya kwanza iko under construction. Sasa utatupostia picha ziko under construction [emoji1787] [emoji1787] Hiyo ya Tatu siyo interchange bali ni Railway crossing.All in all, interchange zenyewe ziko tu sawa.
Pili, Nairobi tumejenga interchanges hadi sehemu maskini ambazo zina watu wengi na maintainance inakua ngumu so inategemea umechukua picha wakati gani. Nyie mna interchange mbili kwa highway alafu bado zinakaa uchwara. Jengeni interchange Manzese ama Tandale alafu uipost hapa after 5 years.[emoji1787][emoji1787]
Ona hii hapa yet it's 50% of all your interchanges. Shida tupu. [emoji1787][emoji1787]
View attachment 1736412
While at it, burudika na hii interchange Kijijini Njoro. Siku Tanzania itapata interchange vijijini niamshe.
View attachment 1736410
Huwezi kuona upumbavu km huo unatokea huku kwetu cz Tz ni ya watanzania wote na tunajenga maala penye uhitaji na sio kujenga kipuuzi kama hivyo alafu nije kujisifia kwa upumbavu km huo, ni aibu sn, Kenya mna matatizo makubwa sana[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
Sent using Jamii Forums mobile app