Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Freight top speed ni 100km, average speed is 80km/hr. So your calculations are based on wrong assumptions!
[emoji28] usinichekeshe mie eti top speed ya 100kph. We all know capabilities za DF 11 locos. Sustained speed 57kph these engines were produced beteen 1992-2005 no wonder you bought them in 2017 raw deal for you.
 
We tunajua umesomea kila aina ya career uko na PHD ya "Doctor of Philosophy in Ujinga" , you clearly cannot be taught anything, next week nitakuona kwa mada nyengine ukidai wewe ni economist na hakuna mtu anaweza kukushinda kwa utaalam wa kiuchumi..... Mwanzo si ni last month tu tukiongea mambo ya Axle load ulisema siwezi kufunza lolote kuhusu railway engineering manake wewe ni mtaalam wa railway enginnering???

Ona hapa pia

View attachment 1949811


I'm very sure tukifanya survey hapa JF na kila mtu aulizwe kama ushawahi kuwaambia wewe ni mtaalam wa nini, tutapata zaidi ya taaluma kama saba hivi ambazo wewe umesema ni "Expert" nashuku hata hili taji la "JF-Expert Member" hua unalitumia offline kule mtaani unapojadiliana na watu, ukiona unashindwa na argument unaanza za, 'unajua mi ni JF-Expert member' [emoji1787]
Hyo amesomea kila kitu bana[emoji1787][emoji1787]
 
Vitu vingi tuu ukiacha hivyo vibanda hapo vinaonesha hiyo pic haiko kwenye first world country ukitizama kwa umakini utaona ni jointed rail ambayo vilevile haina catenary cables ambazo ni norm kwa nchi za wenzetu.
Jointed pia first world zipo acha ushamba
 
Back
Top Bottom