Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Nimetaja aina tatu za gauge kaka.
Broad,standard maglev.
Sijasema kama nchi zote zinatumia maglev nop.
Bali hzo aina tatu za reli ndizo wanazozitumia
evidence? as i told u aside those three i.e. Japan, South Korea and China no other is having operational Maglev!
 
Ya Tz inajengwa na Yepi Merkezi y Uturuki sio China.
Kuna kipande mchina ametoa pesa sijui ni kutoka osaka hadi mwanza baada ya mturuki kukaa miaka 5 bila kumalizia 100km hadi Morogoro.
Kumbuka sgr ya Kenya ni 600km long.
 
evidence? as i told u aside those three i.e. Japan, South Korea and China no other is having operational Maglev!
Hahahah kaka ww huelewi wapi?
Nimesema nchi zilizoendelea zinatumia broad gauge,standard gauge na maglev.
Bimaana haimaanishi nchi zote zinatumia mifumo yote hiyo mitatu ya reli bali zipo zinazotumia broad gauge,zipo zinazotumia standard gauge,zipo zinazotumia maglev na zipo zinazotumia mifumo yote ama mifumo miwili.
Hapo utakua umenielewa embu acha kukaza kichwa basi kaka.
NILICHOMAANISHA HIYO NDIYO MIFUMO YA RELI INAYOTUMIKA KWA WENZETU IWE YOTE AU MMOJA MMOJA.
EISH KAKA.
 
Kuna kipande mchina ametoa pesa sijui ni kutoka osaka hadi mwanza baada ya mturuki kukaa miaka 5 bila kumalizia 100km hadi Morogoro.
Kumbuka sgr ya Kenya ni 600km long.
Mh kaka hizo habari umezisikia wapi?
njia ya Dar to Morogoro ilikamilika kilometa zote 245+ muda mrefu sana to 2019 na sasa hv Morogoro to Makutupora Singida inakaribia kukamilika na njia ya Tabora kuelekea Isaka kupitia Mwanza inajengwa taratibu na waturuki wenyewe.
Yani kitakachobakia ni umeme na stations basi.
Kazisome vzuri hzo taarifa bro itakua umezinukuu vibaya au ww unasemea marekebisho ya metre gauge.
 
Hahahah kaka ww huelewi wapi?
Nimesema nchi zilizoendelea zinatumia broad gauge,standard gauge na maglev.
Bimaana haimaanishi nchi zote zinatumia mifumo yote hiyo mitatu ya reli bali zipo zinazotumia broad gauge,zipo zinazotumia standard gauge,zipo zinazotumia maglev na zipo zinazotumia mifumo yote ama mifumo miwili.
Hapo utakua umenielewa embu acha kukaza kichwa basi kaka.
NILICHOMAANISHA HIYO NDIYO MIFUMO YA RELI INAYOTUMIKA KWA WENZETU IWE YOTE AU MMOJA MMOJA.
EISH KAKA.
The issue here is jointed rails like SGR Kenya are outdated design/technology whether they r SGR or broad gauge or mGR or anything mind u maglev does not use wheels! So since u have been arguing, i challenge u to get me evidence that jointed rail is uptodate (latest technology)! Less than that better keep quiet!
 
The issue here is jointed rails like SGR Kenya are outdated design/technology whether they r SGR or broad gauge or mGR or anything mind u maglev does not use wheels! So since u have been arguing, i challenge u to get me evidence that jointed rail is uptodate (latest technology)! Less than that better keep quiet!
Unachanganya kichwa ww ujuaji mwingi hupotosha.
Mpaka hapa nishajua huelewi wap unaelekea.
TUENDELEE NA MENGINE 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Unachanganya kichwa ww ujuaji mwingi hupotosha.
Mpaka hapa nishajua huelewi wap unaelekea.
TUENDELEE NA MENGINE 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
well said as huchomoki kwenye ku-prove jointed rails are uptodate technology!
 
Kila kitu kina advantages na disadvanges, huwezi kuja hapa uka justify ya kwamba jointed rail ni outdated kw maneno matupu kutoka kichwani mwako
Mbona unaumia kiboya ...iyo jointed rail ni peace of shit...kitu inatoa noice all the way...na bado uko apa kuitetea mtungi wa chang'aa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mh kaka hizo habari umezisikia wapi?
njia ya Dar to Morogoro ilikamilika kilometa zote 245+ muda mrefu sana to 2019 na sasa hv Morogoro to Makutupora Singida inakaribia kukamilika na njia ya Tabora kuelekea Isaka kupitia Mwanza inajengwa taratibu na waturuki wenyewe.
Yani kitakachobakia ni umeme na stations basi.
Kazisome vzuri hzo taarifa bro itakua umezinukuu vibaya au ww unasemea marekebisho ya metre gauge.
Kipande cha mwanza isaka ni mchina tumempaa
 
The issue here is jointed rails like SGR Kenya are outdated design/technology whether they r SGR or broad gauge or mGR or anything mind u maglev does not use wheels! So since u have been arguing, i challenge u to get me evidence that jointed rail is uptodate (latest technology)! Less than that better keep quiet!
Jointed rail is being phased out as it is prone to noise, disturbances, wheel injury, low speed, thermal expansion defects, cracks on joints and vandalism.
 
Mombasa port is bigger than Dar-is-a-slum port. Na Mombasa sio jiji kuu la Kenya kama Dar.
ulitegemea bandari iwe Nairobi,,
Dar siyo jiji kuu,kwa Tanzania Dodoma ndiyo jiji kuu,tulishatoka huko,Dar ni jiji la biashara kama unavyoona U.S.A kwa New york city na Washngton DC


we kweli kibaka
 
Back
Top Bottom